moniccca
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,383
- 3,285
Haya mitano tena mmeiona? Hakuna hata mia ya kuhonga! Wanaume wanazidisha ubahiri wengine hata familia wamezitelekeza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitano tena....
Mjiandae kisaikolojia hii ndo itakuwa style ya maisha ya kudumu maana tunamkaribia Kagame na Museven[emoji23][emoji23]
Hii sasa siyo mitano tena ... Ni yeye tena na tena[emoji23][emoji23]
Kama mwana mama umetelekezwa usibwete jamaa hatarudi tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjiandae kisaikolojia hii ndo itakuwa style ya maisha ya kudumu maana tunamkaribia Kagame na Museven[emoji23][emoji23]
Hii sasa siyo mitano tena ... Ni yeye tena na tena[emoji23][emoji23]
Kama mwana mama umetelekezwa usibwete jamaa hatarudi tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]