Mkuu kumbuka kwamba everything starts from the brain. Message ikisha tumwa in your brain lazima mwili utapokea message na definitely reaction itatokea. (for every action there is a reaction). Sasa nakupa home work kajaribu hii.
Ukiwa na mke wako kitandani, wote mkiwa tayari for the game, tuma akili yako, kumbuka kitu ambacho kilikusikitisha saaaana mfano jaribu kukumbuka mgonjwa wa ukimwi rafiki yako au ajali mbaya sana ambayo ulishashuhudia. Mkuu hapo lazima utageukia upande wa pili. hutoitaka tena game. Na kama ulikua magendo huyo mwanamke lazima atakulaani. Huyo HG hata akitembea uchi, i don't think you will be interested na pia nae atajiona zonto. Mkuu hiyo ndio dawa rahisi ya kukwepa ngono.