Mitihan usahihishwe upya

Mitihan usahihishwe upya

Joined
Feb 13, 2013
Posts
98
Reaction score
15
Juzi niliweka hii mada bwana nilitukanwa balaa. Niliwaambia nimefanya research wakabisha. Somen Tanzania daima. Haiwezekani watu wote wale wapate ziro na wasiofanya wapate three division.
 
Juzi niliweka hii mada bwana nilitukanwa balaa. Niliwaambia nimefanya research wakabisha. Somen Tanzania daima. Haiwezekani watu wote wale wapate ziro na wasiofanya wapate three division.

Acha fujo zako mkuu. Research unaijua wewe?

Gazeti la Tanzania Daima ndiyo limekushikia akili zako?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Acha fujo zako mkuu. Research unaijua wewe?

Gazeti la Tanzania Daima ndiyo limekushikia akili zako?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Wewe mwenyewe huna uakika na hyo research yako ndo maana unategemea magazeti sasa sie tutakuaminije? Tatzo sio kurudia mtihani bali mfumo uliopo athari zake ni researchi kama ya kwako iliyofanyiwa chumbani kwa copy and paste style. Kumbuka sio kila linaloandikwa kina uyakini.
 
Back
Top Bottom