Mitihani ya divisheni five

Mitihani ya divisheni five

ujinga.. naomba kwanza nikushauri.. sijui kama utapenda ama vipi!

naomba ubadili id!

you as a friend of mine, your id describes you badly... even if you give a better comment, it will be described by your id!

hivi imagine mtu anaandika neno kama... ujinga tu! yani badala ya kuandika "ujinga tu" kikawaida, anaandika kwa kukumention wewe!!

nimekushauri kama rafiki!

thanx brother, real nimekubali ushauri wako nita respond muda si mrefu broher! le t us keep in touch
 
524126_343766982401500_603656680_n.jpg

hii itakuwa kipaimara au komunio
 
thanx brother, real nimekubali ushauri wako nita respond muda si mrefu broher! le t us keep in touch

poa brother.. as best friends! tafuta profile ya invisible.. mtumie pm akubadilishie id utakayotaka.. atlisti isiwe na maana tata..! but check it first ili kujua kama kuna user anayo ama la!

happy new year!

karibu tule bana, ndo napata msosi nielekee machungani!

248621_307965935981605_721781620_n.jpg
 
ITAFIKA STAGE MITIHANI ITAKUWA HIVI....!!!

WATOTO WA KISHUA SECONDARY SCHOOL
S.L.P 7677, MASAKI.

MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA.

MAELEKEZO.

i. Jibu maswali yote.

ii. Kila swali linabeba maksi kumi

iii. Zingatia mpangilio wa kazi.

iv. Unaruhusiwa kutumia BLOGS na MAGAZETI YA UDAKU

iv. SWALI LA TISA NI LAZIMA KUJIBU.

MUDA; Masaa matatu.

SECTION A.

1. Kwa kutumia mifano hai, elezea chanzo cha Kim Kadarshian kugombana na Kanye west.

2. Taja tofauti kuu nne kati ya MLIMANI CITY na QUALITY CENTER.

3. Kwa kutumia maeneo ya samakisamaki, Coco beach, Steers, na Kunduchi beach resort elezea maana ya neno BATA.

4. Mapenzi hujengwa kati ya msichana na mvulana. Je Vipini masikioni, Kuvaa mlegezo, mwanaume kusuka na kujipaka carolight vinachangia vipi kufanya penzi lichanue? Fafanua!! Tumia mifano hai ya maboyfriend wa watoto wa kishua

5. Kwa kutumia tamthilia za MARA CLARA na zile nyingine za PROMISE na TIMELESS elezea nafasi ya mwanamke katika jamii.

SECTION B

6. Elezea sababu kuu tano za WEMA na Diamond kugombana!! Na kisha elezea mapinduzi yaliyofanywa na Jokate Mwegelo. Na je kwa nini hawakudumu

7. Inasemekana kuwa Chipsi mayai ni mojawapo ya chakula kinachowachanganya wasichana wengi na mwisho kujikuta wametoa penzi. Kwa kutumia maeneo ya Masaki na Mikocheni elezea Baga na Pizza zinavyosababisha tatizo hili.

8. Kwa kuwatumia wasanii wa Bongofleva kama Diamond na wa mtoni kama Chriss Brown elezea maana ya neno SWAGA.

9. Watoto wengi wa kishua hukimbilia kutafuta mademu wa uswazi wakidai kuwa wasichana wa geti kali hawajui lolote kitandani. Elezea kiufasaha ukitumia mifano hai kwanini wasichana wa kishua ni bomu kitandani.

10. Kwa kutumia mifano hai ya PLAYSTATION elezea ni ipi ngumu sana kucheza kati ya PS 2 na PS 3…..

NAWATAKIA MTIHANI MWEMA!!!

umetisha mkuu
 
poa brother.. as best friends! tafuta profile ya invisible.. mtumie pm akubadilishie id utakayotaka.. atlisti isiwe na maana tata..! but check it first ili kujua kama kuna user anayo ama la!

happy new year!

karibu tule bana, ndo napata msosi nielekee machungani!

248621_307965935981605_721781620_n.jpg

huo ni ugali wa mtama mwekundu, nimeula sana usukumani huwa wanapika na mlenda pori pembeni unapata mtindi! tofauti ya huo ugali na wa usukumani ni kwamba, wasukuma wakishausonga hauwekwi kwenye sinia au sahani kama hapo unavyokula kimjini! wasukuma wanasonga harafu unaanchwa kwenye sufuria( lyamwidebe) inasogezwa mbona watu wanaendelea, karibu siku moja uandaliwe mkuu
 
Excell
discussion tunaanza saa ngapi? swali la sita limenishinda kujibu...............

6. Elezea sababu kuu tano za WEMA na Diamond kugombana!! Na kisha elezea mapinduzi yaliyofanywa na Jokate Mwegelo. Na je kwa nini hawakudumu
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaa!! mkuu umenikumbusha mbali!

tarime ni sehemu ya nyumbani pia!!

nimeishi mgodini pale for some time!

inapendeza kwa kweli, waswahili wanasema mtu kwao...........
vp swali la sita?wew umerijibu? Prof.Himidini amesema tukusanye kesho jumatatu
 
Excell
discussion tunaanza saa ngapi? swali la sita limenishinda kujibu...............

6. Elezea sababu kuu tano za WEMA na Diamond kugombana!! Na kisha elezea mapinduzi yaliyofanywa na Jokate Mwegelo. Na je kwa nini hawakudumu

mkuu ngoja nitoke machungani bana!!

niko mlima kegonga nachunga ming'ombe bana!!

nahisi huu mwaka lazima nirudie darasa!!... sina source of materials wala material zenyewe!

hebu cheki huu mzigo mwanangu!!

545176_206141936164006_1143992505_n.jpg
 
248621_307965935981605_721781620_n.jpg



kiongozi hii kitu ni tamu asikwambie mtu! tumekuwa tukijidanganya na sembe, tunaacha ugali wa mtama kama huu, apo sasa huwa tunajidanganya unga wa mtama, ulezi na muhogo ukasongwa! its very nice mkuu,
 
mkuu ngoja nitoke machungani bana!!

niko mlima kegonga nachunga ming'ombe bana!!

nahisi huu mwaka lazima nirudie darasa!!... sina source of materials wala material zenyewe!

hebu cheki huu mzigo mwanangu!!

545176_206141936164006_1143992505_n.jpg

usisahau kubeba miwa mkuu
 
usisahau kubeba miwa mkuu

hahhaaa!! dont worry..! nna maziwa fresh kidum kizima, mihogo sufuria mbili, viazi vitamu nusu ndoo vilivyochemshwa na maji ya kunywa lita tano!!

huku hatuli chipsi bana...!! mambo ya kuishiwa nguvu za kiume za kuchungia, si' hakuna!
 
Back
Top Bottom