Carlo George
Member
- Feb 10, 2013
- 11
- 3
Hapana,alijichanganya kidogo,na ukiwa kama mwanaume shupavu,hata siku moja usikiri udhaifu,ndiyo kanuni(no 67)aliyoitumia..Ofcoz umeongea ukweli,na umeonesha jnc alivyochanganya mpya na zamani.
Mkuu naona umejitahidi kuandika uongo wa buguruni, Pia kwa taarifa yako serkali haikusema kuwa mitihani itasahihishwa upya, bali matokeo yanapangwa upya kwa grade mpya ambapo zoezi hilo ni tayari limeshaanza toka last sunday labda kama umepata tetesi hizo kwa mukandala au wauza viroba wa hapo mtaani.
Mwanzisha mada hiyo lugha yake tu, kama sio Form IV wa 2012, basi atakuwa ni mtarajiwa wa 2013
Naona woote hamueliwi ni kweli mitihni haisahihishwi upya na wala hayapangwi upya kwa gredi mpya bali wana ongezewa maksi buuuure kwa sababu hakuna gredi mpya zilizotumika ndugu zangu,matatizo ya mass failure ni zaidi ya tunvyofikiri,baraza na Dkt Ndalichako siyo mwanasiasa ni proffesional hizo zinazo semwa gredi mpya zimepikwa kwa sababu za kisiasa
Kuanzia kichwa cha mada mpaka maelezo yako inaonesha na wewe ni wale wale asilimia 60. Anyway hongera kwa kuchora Zombi.Tetesi zilizpo kitaa ni kuwa mitian iliyopangwa kusahihishwa upya imeahirishwa kwa kuwa kuna watu waliojinyonga kutokan na matokea hayo na kuna watu waliorudia madarasa au hat kwenda chuo hivyo kusahihishwa upya kwa mitihani ni kuwavuruga wanafunzi..hyo ndo sirikali yety..chezea tz wewe
Kuanzia kichwa cha mada mpaka maelezo yako inaonesha na wewe ni wale wale asilimia 60. Anyway hongera kwa kuchora Zombi.