Carlo George
Member
- Feb 10, 2013
- 11
- 3
Hapana,alijichanganya kidogo,na ukiwa kama mwanaume shupavu,hata siku moja usikiri udhaifu,ndiyo kanuni(no 67)aliyoitumia..Ofcoz umeongea ukweli,na umeonesha jnc alivyochanganya mpya na zamani.
Sawa sawa nimekuelewa,nimeipenda hyo kanuni no 67 ila naomba unisaidie hyo kanuni ni kutoka wap?