Mitihani ya kidato cha sita 2023 ilikuwa below standard

Ukweli mchungu huu...
 
Lakini kwa upande wa matokeo ya ualimu sidhani kama kuna distinction,lakini hakuna anayeliongelea hilo
 
Haka ka msemo ka toothpick zinaagizwa china kamekaa kinafiki sana.....Ruangwa huku maporini kuna kiwanda cha kutengeneza hizo toothpick
 
Hahahah hilo la oxygen si tayari ushapewa jibu hapo 🤣
 
Toa uthibitisho wa shule hizo
Mkuu shule niliyopiga advance hua inatoa 1 chache sana tena kuanzia 8 na 9 ila ghafla mwaka huu wamepota 5 kibao na Hakuna kilicho badilika shuleni Pale walimu ni wale wale na mazingira yaleyale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…