Mitihani ya kitaifa ya Ualimu kusahihishwa kidigitali

Mitihani ya kitaifa ya Ualimu kusahihishwa kidigitali

Ushauri;
ni vyema Barza likajipanga vyema ktk matumizi ya teknolojia hii, kazi ya teknolojia ni kurahisisha mambo sio kusababisha migogoro.

hatutegemei matatizo Yazidi bali tunategemea matatizo yatapungua.

Jipangane, tumieni watu wenye ujuzi na weledi lkn pia chukueni tahadhari zote dhidi ya wadukuzi/hackers

Pongezi kwa Baraza kwa hatua hii ambayo inaendana na wakati tulio nao hivi sasa.
 
Naunga mkono hoja, Nina miaka zaidi ya 15 kwenye ualimu lakini sijawahi kwenda marking, bila mchongo huendi, Kuna mwalimu kaajiliwa nyuma yangu yeye keshaenda Mara tatu.

Hapa kituoni kwangu Kuna walimu wawili tu ,huwa wanaenda, Sasa unabaki kujiuliza Hawa walimu walisoma vyuo gani ambavyo viliwafanya wawe mahili katika kufanya marking ya mitihani!!?

Bora kukosa wote, kuliko keki ya taifa kuliwa kimchongo[emoji849][emoji849]
Kumbe na yuvisisiem mnaisoma namba
 
Naunga mkono hoja, Nina miaka zaidi ya 15 kwenye ualimu lakini sijawahi kwenda marking, bila mchongo huendi, Kuna mwalimu kaajiliwa nyuma yangu yeye keshaenda Mara tatu.

Hapa kituoni kwangu Kuna walimu wawili tu ,huwa wanaenda, Sasa unabaki kujiuliza Hawa walimu walisoma vyuo gani ambavyo viliwafanya wawe mahili katika kufanya marking ya mitihani!!?

Bora kukosa wote, kuliko keki ya taifa kuliwa kimchongo[emoji849][emoji849]
Unaunga mkono kwa maslahi mapana ya kitaifa au kwa uchawi na wivu?
 
Naona hapo wanafunzi wanalazimishwa kukariri kwa namna fulani, lazima kwenye majibunya mitihani yao wahakikishe wanaandika exactly jibu lile walilofundishwa na mwalimu darasani.

Naamini hata wakiandika jibu walilosoma kwenye kitabu, kama vitabu viko tofauti, wakija na majibu tofauti kwenye swali lile lile wamefeli, atakaekuwa na jibu sahihi ni yupi hapa?

Masomo ya kujieleza sio kama hesabu, mwalimu ndie anatakiwa aangalie uelewa wa mwanafunzi wake kwenye swali husika kupitia majibu yake, aone namna mwanafunzi wake alivyojibu, sio hesabu kila siku inajulikana 1 + 1=2 duniani kote.
Unadhani Tz ndio ya kwanza ?? Kwingine kote wao wanafanyaje? , kujieleza sio lazima iwe tu kwenye mtihani wa mwisho, miaka 7 au 4 au 6 mtoto anajieleza tu isipokuwa mtihani mmoja wa mwisho unadhani hiyo itapunguza ufahamu wake??
 
Back
Top Bottom