MissM4C
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,740
- 1,005
wAKUU heshima kwenu....
JUzi ilifanyika mitihani ya kwa wanafunzi wa mwaka 5 udaktari, baada ya kusahihishwa wanafunzi wote walioonekana kufaulu tena kwa wastani mkubwa, jambo ambalo lilimfanya mkuu wa isara husika professa lutale kuuufuta na kuamua kutunga mtihani mwingine kwani kwa madai yake anasema haiwezekani wanafunzi wote wafaulu kwani idara yake ndio inaongoza kwa kufelisha wanafunzi na discontinuation kila mwaka,,, huyu mama(prof. lutale, mhaya) imekuwa ni kawaida kwake kuona wanafunzi wakifeli na kurudi kufanya sup au kupata disco kila mwaka,,, wanaharakati tusaidieni wanafunzi wa mhimbili,,, hawa walimu wetu wamejigeuza miungu.
JUzi ilifanyika mitihani ya kwa wanafunzi wa mwaka 5 udaktari, baada ya kusahihishwa wanafunzi wote walioonekana kufaulu tena kwa wastani mkubwa, jambo ambalo lilimfanya mkuu wa isara husika professa lutale kuuufuta na kuamua kutunga mtihani mwingine kwani kwa madai yake anasema haiwezekani wanafunzi wote wafaulu kwani idara yake ndio inaongoza kwa kufelisha wanafunzi na discontinuation kila mwaka,,, huyu mama(prof. lutale, mhaya) imekuwa ni kawaida kwake kuona wanafunzi wakifeli na kurudi kufanya sup au kupata disco kila mwaka,,, wanaharakati tusaidieni wanafunzi wa mhimbili,,, hawa walimu wetu wamejigeuza miungu.