Mitihani ya mwaka wa 5 udakitari yarudiwa upya baada ya wanafunzi kufaulu wote mhimbili

Mitihani ya mwaka wa 5 udakitari yarudiwa upya baada ya wanafunzi kufaulu wote mhimbili

Lakini wadau, twende mbele halafu turudi nyuma. Je, ni sahihi kwa mhadhiri kutumia kigezo cha wanafunzi kufaulü kuwa ni ishara ya mtihani kuibiwa?

Je wangeiba wanafunzi wawili tu angegundua?

Kwa njia ni kama anawaambia ukiiba solve peke yako, ili msifaulu wengi. Lakini hatatui uvujaji wa mitihani.

Mtihani ukivuja mtuhumiwa wa kwanza ni aliyeutunga halafu wanafuatia wachapishaji na wengine.

Ili kuhakikisha ubora wa elimu inayotolewa ni vema chuo kikabuni mfumo bora wa kuhakikisha mitihani inakuwa kioo cha elimu waliyopata wanafunzi.
 
wAKUU heshima kwenu....

JUzi ilifanyika mitihani ya kwa wanafunzi wa mwaka 5 udaktari, baada ya kusahihishwa wanafunzi wote walioonekana kufaulu tena kwa wastani mkubwa, jambo ambalo lilimfanya mkuu wa isara husika professa lutale kuuufuta na kuamua kutunga mtihani mwingine kwani kwa madai yake anasema haiwezekani wanafunzi wote wafaulu kwani idara yake ndio inaongoza kwa kufelisha wanafunzi na discontinuation kila mwaka,,, huyu mama(prof. lutale, mhaya) imekuwa ni kawaida kwake kuona wanafunzi wakifeli na kurudi kufanya sup au kupata disco kila mwaka,,, wanaharakati tusaidieni wanafunzi wa mhimbili,,, hawa walimu wetu wamejigeuza miungu.

Elimu za bongo ni kukomoana kuliko uhalisia
 
KWA KWELI TZ TUNACHEKESHA SANA...TUNAFURAHIA WANAFUNZI KUFELI MITIHANI. KAMA KWELI WANAFUNZI WANAFUNDISHWA VIZURI NA MALECTURE NA WAPO KARIBU NA WANAFUNZI WAO HAKUNA HAJA YA WANAFUNZI KUIBA PEPA KWANI WATAFAULU VIZURI SANA.

NILIPATA KUSOMA HAPA TZ NA NIKASOMA UCHINA CHUO CHA BEIJING INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY KWA KWELI TUKO TOFAUTI SANA KIMTAZAMO KUHUSU SUALA HILI LA KUFAULU/KUFELI. KULE MALECTURE WAKO KARIBU SANA NA WANAFUNZI NA WANAHAKIKISHA WANAFUNZI WANAFAULU VIZURI SANA NA WOTE.

WALE WENYE SIFA ZA UZEMBE NA WASIOPENDA MAENDELEO YA WANAFUNZI HUPEWA ONYO KALI SANA NA UCHINA IMEPIGA HATUA KUBWA SANA KIELIMU ZAIDI YETU TULIO WANAFIKI WA KIELIMU. ONA LECTURE ANAPANGA IDADI YA WATAKAOPATA A or B+ or B or C or D NA WANAOFELI.
 
hivi lengo la mtihani uwa ni watu wa fail au ni kupima kiwango cha uelewa wa mwanafunzi?
Kama lengo ni kufail hapo sawa
kwa hali ya kawaida watu/wanafunzi wote hawawezi kuwa na uelewa sawa. unakumbuka- normal distribution, bell curve, -ve au +ve skew?
 
wAKUU heshima kwenu....

JUzi ilifanyika mitihani ya kwa wanafunzi wa mwaka 5 udaktari, baada ya kusahihishwa wanafunzi wote walioonekana kufaulu tena kwa wastani mkubwa, jambo ambalo lilimfanya mkuu wa isara husika professa lutale kuuufuta na kuamua kutunga mtihani mwingine kwani kwa madai yake anasema haiwezekani wanafunzi wote wafaulu kwani idara yake ndio inaongoza kwa kufelisha wanafunzi na discontinuation kila mwaka,,, huyu mama(prof. lutale, mhaya) imekuwa ni kawaida kwake kuona wanafunzi wakifeli na kurudi kufanya sup au kupata disco kila mwaka,,, wanaharakati tusaidieni wanafunzi wa mhimbili,,, hawa walimu wetu wamejigeuza miungu.
Mbona hueleweki? Kabila la prof linahusika vp? Wanaharakati wakusaidie kufanya mtihani? Ni dhahiri wewe hapo chuo ulienda kwa kili za wengine, so hustahili kuwa docta.
Mtoto wa kike maji shingo, acha kutapatapa wwe. Bahati mbaya kwako prof mwanamke mwenzio so hahtaji kitu kwako bali perfomance angekuwa mwanaume bilashaka ungemlembulia. Kama kweli umefaulu kihalali na zmo kichwani yowe ya nni? Hatu taki madaktari feki wa aina yako. We afadhali udisco maana kichwa yaelekea kizto,kapike maandazi.
 
Mbona hujiamini dada? Mmezoea kujiuza kwa maprof wanaume sasa huyo mama utambeba! Kama huu ulifaulu kihalali kwa nini uhofie kurudia tena???. Nina mashaka na afya ya ubongo wako!
 
kawaida vyuo vyote duniani hata vizuri vipi na ma besti ones hua wanakaa nakusoma majibu ya wanafunzi.

sasa kama katika kusoma mnajikuta munaona mnasoma maneno yako sawa esp lazima kuna maneno mengi mnayojua yanatakiwa wote labda wameandika sawa.

Si nikama kuna habari hata sie binadamu tukisoma tunaona mbona hizi zinaendana, na kujiuliza lazima hii na hii imetoka sehemu moja.

kawaida hata mitihani ya masomo mengine watu uandika kitofauti, imagine hawa ni mwaka wa mwisho wote wako desperate hakuna hata aliyetaka kujifanya hajui hiki au kile ili hata apate maksi ya chini mnadhani itakuwaje.

mtu ukiiba pepa lazima hata kama una majibu wengi mmesoma ni lazima kubadili badili sasa hawa labda woteeeee waka copy paste kupitia vichwa vyao ndio inaitwa kukramu na sio kuelewa na kujieleza wewe ambapo mwingine nae akieleza utajua ndio wanaongelea same bali kila mtu kajieleza kivyake.
 
wAKUU heshima kwenu....

JUzi ilifanyika mitihani ya kwa wanafunzi wa mwaka 5 udaktari, baada ya kusahihishwa wanafunzi wote walioonekana kufaulu tena kwa wastani mkubwa, jambo ambalo lilimfanya mkuu wa isara husika professa lutale kuuufuta na kuamua kutunga mtihani mwingine kwani kwa madai yake anasema haiwezekani wanafunzi wote wafaulu kwani idara yake ndio inaongoza kwa kufelisha wanafunzi na discontinuation kila mwaka,,, huyu mama(prof. lutale, mhaya) imekuwa ni kawaida kwake kuona wanafunzi wakifeli na kurudi kufanya sup au kupata disco kila mwaka,,, wanaharakati tusaidieni wanafunzi wa mhimbili,,, hawa walimu wetu wamejigeuza miungu.

Kulikua na haja gani ya kulitaja kabila la huyo Prof?
 
.....MD5 :becky::becky:...........GOD BE ON OUR SIDE....TUTATOKA TU
 
KWA KWELI TZ TUNACHEKESHA SANA...TUNAFURAHIA WANAFUNZI KUFELI MITIHANI. KAMA KWELI WANAFUNZI WANAFUNDISHWA VIZURI NA MALECTURE NA WAPO KARIBU NA WANAFUNZI WAO HAKUNA HAJA YA WANAFUNZI KUIBA PEPA KWANI WATAFAULU VIZURI SANA.

NILIPATA KUSOMA HAPA TZ NA NIKASOMA UCHINA CHUO CHA BEIJING INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY KWA KWELI TUKO TOFAUTI SANA KIMTAZAMO KUHUSU SUALA HILI LA KUFAULU/KUFELI. KULE MALECTURE WAKO KARIBU SANA NA WANAFUNZI NA WANAHAKIKISHA WANAFUNZI WANAFAULU VIZURI SANA NA WOTE.

WALE WENYE SIFA ZA UZEMBE NA WASIOPENDA MAENDELEO YA WANAFUNZI HUPEWA ONYO KALI SANA NA UCHINA IMEPIGA HATUA KUBWA SANA KIELIMU ZAIDI YETU TULIO WANAFIKI WA KIELIMU. ONA LECTURE ANAPANGA IDADI YA WATAKAOPATA A or B+ or B or C or D NA WANAOFELI.

ni hatari ndugu yangu
 
Kwa sitahili hiyo hatuwezi kufika mbali coz tunaipiga elimu teke sisi wenyewe
 
Back
Top Bottom