PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,102
- 1,919
Miaka ya hivi karibuni, kumeibuka mitihani ya sets kwa madarasa ya mitihani.
Mitihani hii inaonekana kuwa ndo suluhu ya kufelisha watoto kwenye mitihani ya kitaifa, walianza taasisi binafsi na hivi karibuni shule za serikali zimefuata.
Tatizo la hii mitihani, imejikita kubahatisha maeneo muhimu ya mitihani ya taifa, hivyo mwanafunzi akiwabahatisha vizuri NECTA, ndiye anaonekana giant wa taifa.
Ukweli ni kwamba, tumeachana na ufundishaji wa utulivu unaozingatia UMAHIRI/COMPETENCE, Mitaala ya elimu inazingatia SERA ZA ELIMU NCHINI, na sera ya elimu hailengi kufauli kwenye mitihani bali kwenye UMAHIRI.
UMAHIRI ndiyo unafanya kuwa na wasomi wenye kufikili KIMANTIKI, WENYE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO WAO WENYEWE.
Mitihani ya sets inawafanya walimu kujikita kutafuta mbinu za kujibu mitihani tu, hamna UMAHIRI WOWOTE.
tamisemi liangalieni hili maana nyinyi ndio mnashinikiza ufaulu wa watoto kwenye mitihani na mmekuwa mkienda kinyume na malengo ya elimu nchini hata mitaala. Msifuate matamanio ya kisiasa, zingatieni utaalamu.
Mitihani hii inaonekana kuwa ndo suluhu ya kufelisha watoto kwenye mitihani ya kitaifa, walianza taasisi binafsi na hivi karibuni shule za serikali zimefuata.
Tatizo la hii mitihani, imejikita kubahatisha maeneo muhimu ya mitihani ya taifa, hivyo mwanafunzi akiwabahatisha vizuri NECTA, ndiye anaonekana giant wa taifa.
Ukweli ni kwamba, tumeachana na ufundishaji wa utulivu unaozingatia UMAHIRI/COMPETENCE, Mitaala ya elimu inazingatia SERA ZA ELIMU NCHINI, na sera ya elimu hailengi kufauli kwenye mitihani bali kwenye UMAHIRI.
UMAHIRI ndiyo unafanya kuwa na wasomi wenye kufikili KIMANTIKI, WENYE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO WAO WENYEWE.
Mitihani ya sets inawafanya walimu kujikita kutafuta mbinu za kujibu mitihani tu, hamna UMAHIRI WOWOTE.
tamisemi liangalieni hili maana nyinyi ndio mnashinikiza ufaulu wa watoto kwenye mitihani na mmekuwa mkienda kinyume na malengo ya elimu nchini hata mitaala. Msifuate matamanio ya kisiasa, zingatieni utaalamu.