Mitihani ya sets inaharibu elimu nchini

Mitihani ya sets inaharibu elimu nchini

Kama ni mitihani inayoandaliwa kupima wanafunzi inauaje elimu?
Ebu jazia nyama kidogo mwanafunzi akipewa mtihani inaathili vipi uwezo wake kitaaluma?
Na hasa ukizingatia kuwa anajaribiwa ktk masomo ambayo ameshafundishwa yaani kwa kuzingatia syllabus,sijui anataka iweje au wasijaribiwe kabla mitihani ya mwisho?
 
Back
Top Bottom