VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Mkuu wangu,ni yote matatuHalali kwa jambo lipi? Umetaja mambo matatu ambayo yote yamekushangaza
la kwanza, ni majibu ya mitihani kuibiwa
la pili, kwa Kitivo cha sheria kufanya siri juu ya jambo hili
la tatu, Wanafunzi husika kutakiwa kurudiwa mtihani
Sasa unataka ujibiwe lipi hapo Mzee tupatupa?
Mkuu wangu,ni yote matatu
.. na hasa kama imeibiwa au kupotea nje ya ofisi (kwenye gari au nyumbani).Hakuna kitu kibaya kwa Mhadhiri kama 'kupoteza' karatasi za mtihani!
Hakuna kitu kibaya kwa Mhadhiri kama 'kupoteza' karatasi za mtihani!
ndo umeishia kufikria.mhhhhhhh....hapo linalofwata litakua lijiwe hata zaid ya waliloiba.....
Walijua watadsco kwenye hiyo paper ndo wamecheza game ili warudie
Katika hali isiyo ya kawaida,karatasi za majibu za wanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Kwanza ya Sheria wa UDSM zimeibwa zikiwa kwa Mhadhiri wa somo. Karatasi hizo za somo la Legal Drafting,zimeibwa toka kwa Dr. Ringo Tenga,Mhadhiri Mwandamizi wa Kitivo cha Sheria-UDSM.
Ingawa Utawala wa Kitivo unafanya siri juu ya jambo hilo,taarifa za uhakika zinadai kuwa karatasi za majibu za mtihani husika zimeibwa. Alama kwa wanafunzi wote wa mwaka wa tatu haziwezekani kupatikana.Hivyo,wanafunzi husika watatakiwa kufanya tena mtihani wa somo tajwa. Hadi sasa,Kitivo hakijapanga tarehe ya kufanyika kwa mtihani huo.
Je,ni halali mambo haya kuwa hivi?