VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Katika hali isiyo ya kawaida,karatasi za majibu za wanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Kwanza ya Sheria wa UDSM zimeibwa zikiwa kwa Mhadhiri wa somo. Karatasi hizo za somo la Legal Drafting,zimeibwa toka kwa Dr. Ringo Tenga,Mhadhiri Mwandamizi wa Kitivo cha Sheria-UDSM.
Ingawa Utawala wa Kitivo unafanya siri juu ya jambo hilo,taarifa za uhakika zinadai kuwa karatasi za majibu za mtihani husika zimeibwa. Alama kwa wanafunzi wote wa mwaka wa tatu haziwezekani kupatikana.Hivyo,wanafunzi husika watatakiwa kufanya tena mtihani wa somo tajwa. Hadi sasa,Kitivo hakijapanga tarehe ya kufanyika kwa mtihani huo.
Je,ni halali mambo haya kuwa hivi?
Ingawa Utawala wa Kitivo unafanya siri juu ya jambo hilo,taarifa za uhakika zinadai kuwa karatasi za majibu za mtihani husika zimeibwa. Alama kwa wanafunzi wote wa mwaka wa tatu haziwezekani kupatikana.Hivyo,wanafunzi husika watatakiwa kufanya tena mtihani wa somo tajwa. Hadi sasa,Kitivo hakijapanga tarehe ya kufanyika kwa mtihani huo.
Je,ni halali mambo haya kuwa hivi?