Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Safii! wembamba mna raha jamani!
I know this chick..a designer.....Very natural........
Lol ht cjui imekuwaje nimeingia huku leo !!!naona Mungu alikuwa na mpango na mimi maana nilivyokuwa nahangaika nishonaje vitenge vyangu,
Ss upele umempata mkunaji
Ushukuriwe mtoa mada
waooh i like the gown simple and sexy.........Wii wako ndo napenda hivo vitu
sana tatizo ni kupata fundi wa kushona kama hiyo,
My cute designer i know her also she is very talented......Go go go bi dada SW Tanzania tunahitaji wanawake kama wewe. Inshallah you will reach up there
nashonaga pale.bei zake sie akina sisi tunaweza kuziafford.....
halafu nimesoma nae pia so lazima nimpe support
Mtafute mama mwenye namba hii 0767504971 hakika utapenda ana office hapo urafiki Dar. Amejikita ktk mitindo mbalimbali, maharusi, send off na kitchen party.habari za leo wanajamvi .nahitaji mishono mbalimbali ya nguo ya kitenge ..naomba mwenye style yoyote ya mshono wa kitenge atupie picha tafadhali.
Mtafute mama mwenye namba hii 0767504971 hakika utapenda ana office hapo urafiki Dar. Amejikita ktk mitindo mbalimbali, maharusi, send off na kitchen party.
Vibaya hivyo mkuu.Hata hii huwezi kuivaa?????Mnh! Nguo ya kitenge ofisini? Mie ni mpinzani mkuu! Kitenge ni kanisani na kwenye shughuli nyingine zisizohusiana na ofisi. Btw, nguo ya bendera kama hiyo unaivaae ofisini? Ha ha ha haaaaaa!