Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Wanasema eti ni mali ya wamisirikiukweli bora kuishi ughaibuni tu yani hapa JF naonekana nikiwasimulia watu waliopo zama za mawe wengi.
yani ukizunguka kanda ya ziwa kuna mito na vijimito visivo kauka kupeka maji ziwani lakini hata wazo la kuwanzisha umeme angalau wa wilaya au kuongeza megawatt hakuna.
naumia sana kuona maji ya mito yakienda tu ziwani
inafaa kusuburia nini .wakati maji yake yana weza kusogeza au kuongeza megawatt ili kuwe na umeme wa kutoshaHiyo haifai kuzalisha umeme
Haina muinuko wa kutosha, haina maji mengi na mingine hata ni ya misimu.inafaa kusuburia nini .wakati maji yake yana weza kusogeza au kuongeza megawatt ili kuwe na umeme wa kutosha
Father Theo!!!Kule kabanga kasulu kuna mzungu katega kimtambo chake mtoni anazalisha umeme wanakijiji wanatumia nae ana kalakana yake anafanya kazi vizur tu
NakaziaAngalia viongozi ulionao mtaani kwako utapata taswira ya viongozi tulionao kitaifa.
Maeneo machafu, rushwa, kujuana, kesi za majungu ndizo wanashughulikia. Ni kazi kama kazi zingine
jifunze ili kwanza jinsi ya kuvuna umeme wa mito usio na nguvu kubwa kama unavofikiriaHaina muinuko wa kutosha, haina maji mengi na mingine hata ni ya misimu.
utasikia hawafahamu hapa jf ila akitangaza mirad ayo wanaona ni trend na maajabuKule kabanga kasulu kuna mzungu katega kimtambo chake mtoni anazalisha umeme wanakijiji wanatumia nae ana kalakana yake anafanya kazi vizur tu
Hakuna mto unaoingia ziwa Victoria kwa Tanzania unaweza kuzalisha umeme wa maana. Haina miinuko.jifunze ili kwanza jinsi ya kuvuna umeme wa mito usio na nguvu kubwa kama unavofikiria
View attachment 2903737
😆 mto kagera hupo dodoma au?Hakuna mto unaoingia ziwa Victoria kwa Tanzania unaweza kuzalisha umeme wa maana. Haina miinuko.
Yap,ndo huyo huyo mzee,ingawaje anaitwa brother TheoFather Theo!!!
Mto Kagera ndani ya Tanzania hauna drop ya kufaa kuzalisha umeme.😆 mto kagera hupo dodoma au?
hiyo ni sample ujaja mwanza na musoma
we ni mbishi sana jeografia umesoma ya mtaa gani. kwani mto unapanda mlima.Mto Kagera ndani ya Tanzania hauna drop ya kufaa kuzalisha umeme.
Hospital Ya Kambaga Na Chuo Chake Pia WanakijijiYap,ndo huyo huyo mzee,ingawaje anaitwa brother Theo
Huo umeme wake ulikuwa unatumiwa na vyuo viwili, hospital na wanakijiji kabla ya kuja huu umeme wa tanesco
Pia maji nayo alitegesha huwa yanakuja kijijin bila kutumia hata umeme