Mitsubishi Pajero iO (GDI)

Hello wana jamii forum napenda kuwapongeza katika michango yenu baadhi ya magari kiufundi na ubora magari.tupo tayari kiushauri pia na kikazi.<br>Kwa mawasiliano piga nambari hii 0715-399613,0755-399613.AHSANTENI.<br><br>
 

kwa hiyo pesa,agiza mercedes benz c220 au c200 mzazi
 
tonge eeeeh,hebu nisaidie mkuu hzo starlet huwa nazikubali sana,zinakulaje mafuta
 

Acha uongo hiyo gari hizo tairi ni za chuma? Maana hakuna tairi inayoweza kudumu miaka 10 bila kubadilishwa, kwa uongo huu pia hata hilo gari linaweza kuwa kimeo
 
Afadhali umepokea ushauri.Hiyo GDI ni upumbavu mtupu.ukiwa nayo utafikiri kuna mtu amekutupia mkosi.nimesikia wengi wanaisifia hiyo Gdi mitisubishi.nadhani wana malengo yao au wao wenyewewe hawajawhi yamiliki .mimi sijamiliki ila aina hiyo ya magari ila kuna jamaa zangu wa karibu waliyashabikia kwamba yana suspension nzuri wakanunua.wote wakapata taabu inayofanana hasa kwenye injini.wakishia kuwa wanashinda ilala kwa wapemba kutafuta injia used za kubadilisha.nimewahi kuwa na Rv4 old model, ilikuwa kawaida kabisa.sema spare ni nyingi na bei ndogo tu.ila fake ni nyingi ila bei ndogo kwa kuanza naweza sema hiyo itakufaa kujifunzia.
 


gari zuri sana ukiheshimu service, kwa kusimamia, na kutokumuamini fundi yeyote. Pia hakikisha fundi unayempelekea analifahamu vizuri
 
Tatizo wengi wetu huwa tunatoa ushuhuda Wa vitu ambavyo hatuvijui, Mimi ninayo Mitsubishi pajero io toka mwaka 2008 mpaka Leo naitumia ipo bomba kabisa utafikiri nimetoa Leo japan. Tatizo kubwa watu wengi wameaminishwa na mafundi kuwa gari tofauti na Toyota walizozizoea ni mbaya.mafundi sahihi wapo na spare zipo kibao na ni zinadumu sana tu. Mimi toka nimeanza kutumia Mitsubishi sijawahi kuwaza kununua Toyota Tena.kuanzia kwenye engine performance hadi kwenye comfortability ni satisfied kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…