Mitume na manabii wakutana leo Sinza, alikuwepo Gwajima, Mwamposa, Mzee wa upako na Mc alikuwa mtume Maboya....Raha tupu

Mitume na manabii wakutana leo Sinza, alikuwepo Gwajima, Mwamposa, Mzee wa upako na Mc alikuwa mtume Maboya....Raha tupu

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Na wengine wengi tu walikutana pamoja hotel moja na kutoa tamko la pamoja kama watu wa Mungu na wanaomhubiri Kristo wanasikitika sana kuona watumishi wengine wakifurahia shida za wenzaoo inasikitisha sana sana na wameapa hili jambo awataruhusu kwemye umoja wao.

Mc Maboya alimkaribisha Askofu Lusekelo mzee wa upakoo dah mzee akumenya wala kumumunya akaanza kutaja majina kadhaa haoo ni wanafiki hawaihubiri injili ya Mungu.

Amesema amesoma Mwanzo mpaka Ufunuo hajawahi ona mitume wakipata shida wenzao wanafurahiaaa. Akasema unapojishusha Mungu anakupandisha leo wameona hata aibu kuja hapa dah.

Nae mtume Dk. Mwamposa alipewa nafasi ya kuongea akitumia hekima dk tatu akagawa mike na kusema anashukuru wote waliokuwa nae bega kwa bega alipopitia anaamini Mungu anaemwamini ndie Mungu wa mitume wote walio hapa.

Akasema anamshukuru Mungu kwa yote na kupitia tatizo hili ameweza kujua wazuri ni wapi wabaya ni kina nani akarudisha mike.

Mungu awasaidie mpendane hivi hivi kumuaibisha shetani na matakataka yake.
 
Duuuu, basi sawa nimekuelewa,busara ni kutoongea chochote zaidi ya kusema ,Amina snaa
 

Attachments

  • Screenshot_20200225-222206.png
    Screenshot_20200225-222206.png
    50.6 KB · Views: 1
Viongozi wa dini nilikuwa nikiwaamini sana lakini kwa sasa hakuna kitu..wengi ni kanjanja...wanatafuta pesa za maskini ili wawe matajiri.
Hapo hakuna mtumishi hata mmoja..Hizi huduma tunatakiwa kuwa nazo macho sana hasa macho ya rohoni...
 
BASIASI,
Hata hapa wewe unawaamini watu hawa wanaoua watu 20 halafu wiki inayofuata anatunukiwa “shahada ya heshima?” Lazima mtu wa namna hiyo awe mchawi.
 
Dah hili swali huwa lanisumbuaga sana hilii “hivi tutajuaje kuwa hawa ni manabii wa kweli au wa uongo?”
 
Back
Top Bottom