Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Anandika kama Mwigulu NchembaAndika kwa herufi ndogo. Unaandika kama msukule wa hao mitume wachumia tumbo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anandika kama Mwigulu NchembaAndika kwa herufi ndogo. Unaandika kama msukule wa hao mitume wachumia tumbo.
Mitume wanauwa?BASIASI,
Hata hapa wewe unawaamini watu hawa wanaoua watu 20 halafu wiki inayofuata anatunukiwa “shahada ya heshima?” Lazima mtu wa namna hiyo awe mchawi.
Kuna kundi la mitume na kundi la maaskofu japokuwa wengine ni popo!Niseme rasmi sasa naona hao Mitume na Manabii wa kitanzania wana makundi mawili, ningewashauri wayape majina hayo makundi yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu lipo, soma bila kuacha point hapa Mathayo 7:15-29Dah hili swali huwa lanisumbuaga sana hilii “hivi tutajuaje kuwa hawa ni manabii wa kweli au wa uongo?”
Check kwenye red hapo.Dah hili swali huwa lanisumbuaga sana hilii “hivi tutajuaje kuwa hawa ni manabii wa kweli au wa uongo?”
Manibii Feki manabii wa uongo hao mbinguni watakuwa kuni za motoni
Huyo Gwajima alikuwa mjumbe wa CC ya Chadema!Hao ni wachungaji, hatuna MITUME dunia ya leo iliyojaa dhambi na dhihaka za wanadamu mbele ya Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu amejitenga na uso wa dunia kwa ajili ya dhambi za wanadamu - Mungu haongei tena na wanadamu directly kama alivyofanya kwa manabii wa kale kina Daniel, Yona, Elia, Mussa, Joshua nk. Badala ya ke alimleta mwana wake Yesu kristo ili iwe link yetu na yeye.
Kwa hiyo hawa ni wachungaji ambao wanatuunganisha sisi kondoo kupata wokovu kwa kupitia damu ya Yesu kristo iliyomwagika pale msalabani.
Basi alikuwa MSHENGA!Unatia AIBU ficha .......wakobasi