Miujiza ya uponyaji na kufanikiwa kiuchumi

Miujiza ya uponyaji na kufanikiwa kiuchumi

Inanambo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
4,039
Reaction score
2,840
Yaani nashindwa kuelewa Watu wanaosema/wanaoshuhudia wamepona baada ya kutumia mafuta na maji ya upako. Wapo wanaosema wamekunya au kutapika au kujifungua; kobe, hirizi, panya, tandu, jongoo, nyoka, toothpick, nyuzinyuzi. Au wameua nyoka nje ya nyumba zao au paka.

Nisaidieni hii ni miujiza gani ya kutoa wadudu na wanyama hai mwilini?
 
Yaani nashindwa kuelewa Watu wanaosema / wanaoshuhudia wamepona baada ya kutumia Mafuta na Maji ya Upako. Wapo wanaosema wamekunya Au kutapika au kujifungua:- Kobe, Hirizi, Panya, Tandu, Jongoo, Nyoka, Toothpick, nyuzinyuzi. Au wameua Nyoka Nje ya Nyumba zao au Paka. Nisaidieni hii ni Miujiza Gani ya kutoa wadudu na wanyama hai mwilini?

🤔🤔🤔🤔
 
Mimi Nina Mgonjwa nimejaribu kumpaka hayo Mafuta na Maji lakini haponi. Maji nilinunua Kwa Imani na Maji kichupa 1000/= .Kuna wanaopona na wasiopona ikiwa wote Tumetumia Maji na Mafuta ya Upako?
 
Hiyo meza unayojaribu kutingisha ina vinywaji vya wakwe, kuwa makini.
 
Yaani nashindwa kuelewa Watu wanaosema / wanaoshuhudia wamepona baada ya kutumia Mafuta na Maji ya Upako. Wapo wanaosema wamekunya Au kutapika au kujifungua:- Kobe, Hirizi, Panya, Tandu, Jongoo, Nyoka, Toothpick, nyuzinyuzi. Au wameua Nyoka Nje ya Nyumba zao au Paka. Nisaidieni hii ni Miujiza Gani ya kutoa wadudu na wanyama hai mwilini?
Ogopa matapeli
 
Mimi Nina Mgonjwa nimejaribu kumpaka hayo Mafuta na Maji lakini haponi. Maji nilinunua Kwa Imani na Maji kichupa 1000/= .Kuna wanaopona na wasiopona ikiwa wote Tumetumia Maji na Mafuta ya Upako?

Imani+Toba+Maombi & mafuta = Uponyaji



Yakobo 5:13-15
"Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi. Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa."
 
Yaani nashindwa kuelewa Watu wanaosema / wanaoshuhudia wamepona baada ya kutumia Mafuta na Maji ya Upako. Wapo wanaosema wamekunya Au kutapika au kujifungua:- Kobe, Hirizi, Panya, Tandu, Jongoo, Nyoka, Toothpick, nyuzinyuzi. Au wameua Nyoka Nje ya Nyumba zao au Paka. Nisaidieni hii ni Miujiza Gani ya kutoa wadudu na wanyama hai mwilini?
Mzee hayo ni matangazo ya biashara kama biashara nyingine so usitake kuharibia watu biashara zao
 
Screenshot_20210807-165534_1.jpg
 
Hakuna kitu hapo. Wanachokifanya ni MAZINGAOMBWE tu, hakuna kitu hapo.
 
Fanya utafiti zaidi

Hii taarifa inapoendelea inasema Mgonjwa ni Mgonjwa wa Akili. Kuna uwezekano alikula hivyo Vitu toka Jalalani . Kwa hiyo Ndugu hakuna Miujiza hapo kichaa alimeza Mwenyewe hivyo Vitu. Wa Kule wanazaa / kunya/ kutapika Jongoo hai, Nyoka hai, Kobe hai, tandu hai, Panya hai 🏃toka tumboni mwao.
 
Hii taarifa inapoendelea inasema Mgonjwa ni Mgonjwa wa Akili. Kuna uwezekano alikula hivyo Vitu toka Jalalani . Kwa hiyo Ndugu hakuna Miujiza hapo kichaa alimeza Mwenyewe hivyo Vitu. Wa Kule wanazaa / kunya/ kutapika Jongoo hai, Nyoka hai, Kobe hai, tandu hai, Panya hai 🏃toka tumboni mwao.

Mgonjwa wa akili anameza kijiko kizimakizima 🤔🤔🤔🤔
Hakabwi koo?? Wala hapati majeraha kooni 🤗
 
Yaani nashindwa kuelewa Watu wanaosema/wanaoshuhudia wamepona baada ya kutumia mafuta na maji ya upako. Wapo wanaosema wamekunya au kutapika au kujifungua; kobe, hirizi, panya, tandu, jongoo, nyoka, toothpick, nyuzinyuzi. Au wameua nyoka nje ya nyumba zao au paka.

Nisaidieni hii ni miujiza gani ya kutoa wadudu na wanyama hai mwilini?
Wengi waongo, wachache ni kweli ila sio kwa hawa manabii
 
Mimi Nina Mgonjwa nimejaribu kumpaka hayo Mafuta na Maji lakini haponi. Maji nilinunua Kwa Imani na Maji kichupa 1000/= .Kuna wanaopona na wasiopona ikiwa wote Tumetumia Maji na Mafuta ya Upako?
Kwani hata hospital wanapona wote? Au shuleni wanafaulu wote?!
 
Imani+Toba+Maombi & mafuta = Uponyaji



Yakobo 5:13-15
"Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi. Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa."
Swali linakuja mafuta yapi,hayo mafuta yanatokana na mini,mafuta wanayotumia akina mwamposya mnajua yanatoka wapi,mnajua yamewekewa nn,bakini ni ujinga wenu,mmesoma ila zero brain,wake zenu wamewazidi akili
 
Swali linakuja mafuta yapi,hayo mafuta yanatokana na mini,mafuta wanayotumia akina mwamposya mnajua yanatoka wapi,mnajua yamewekewa nn,bakini ni ujinga wenu,mmesoma ila zero brain,wake zenu wamewazidi akili


Mafuta ni mamoja tuu
Mafuta ya mzeituni. Tena yale yasiyochakachuliwa

WAAMUZI 9:8-15
8 Siku moja miti ilitoka ili kuutia mmoja mafuta uwe mfalme juu yao; ikauambia mti mzeituni, Tawala wewe juu yetu.
9 Lakini huo mzeituni ukaiambia, Je! Niache mafuta yangu, ambayo kwangu mimi watu wamheshimu Mungu na wanadamu, ili niende nikayonge-yonge juu ya miti?


10 Kisha miti ikauambia mtini, Njoo wewe, utawale juu yetu.
11 Lakini huo mtini ukaiambia, Je! Niuache utamu wangu, na matunda yangu mazuri, niende nikayonge-yonge juu ya miti?
12 Kisha miti ikauambia mzabibu, Njoo wewe, utawale juu yetu.
13 Huo mzabibu nao ukaiambia, Je! Niiache divai yangu, ambayo humfurahisha Mungu na wanadamu, ili niende nikayonge-yonge juu ya miti?
14 Ndipo hiyo miti yote ikauambia mti wa miiba, Njoo wewe, utawale juu yetu.
15 Huo mti wa miiba ukaiambia miti, Kwamba ninyi mwanitia mafuta niwe mfalme juu yenu kwelikweli, basi njoni mtumaini kivuli changu; na kwamba sivyo, na utoke moto katika mti wa miiba na kuiteketeza mierezi ya Lebanoni.
 
Back
Top Bottom