JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Kwa sasa licha ya changamoto ambazo tumekuwa tukilalamikia ikiwemo stendi kukosa maji nyakati tofauti, tozo za vyoo ndani ya stendi, lakini kwa sasa kuna changamoto nyingine ambayo sio ya kukalia kimya kungojea jahazi lizame.
Kwa kuwa kuna waliopewa mamlaka ya usimamizi ambao wamekuwa wakikusanya hela ya huduma ya vyoo tofauti na tozo nyingine ambayo utozwa kwa abiria wakati wa kuingia ndani ya stendi wakaboresha miundombinu hiyo wasingojee ichakae zaidi na kupelekea kero zaidi kwa watumiaji.
Pia soma:
~ Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo
~ Watoza ushuru stendi ya mabasi Magufuli hawatoi risiti hivyo kuikosesha mapato manispaa