Miundombinu ya Ubungo flyover nani huiharibu?

Miundombinu ya Ubungo flyover nani huiharibu?

mdesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
1,367
Reaction score
2,220
Naomba niende direct kwenye point;-

Huwa nachukizwa na kupata uchungu sana kuona raia wanaharibu miundombinu ya umma kwa maksudi bila sababu yeyote ya msingi. Yaani si kwa bahati mbaya wala sababu fulani justifiable iliyo sababisha uharibifu huo.

Pamoja na sehemu nyingine hapa ubungo chini ya daraja pamejengwa uzio mzuri tu kuzuia watu wasitumie eneo chini ya daraja ambapo kabla hapajawekwa uzio paligeuka sehemu ya malazi kwa vijana wadogowadogo.

Kilichonisukuma kuandika hapa; ni hali ambayo nilikuwa naiona siku kwa siku ule uzio unakatwa/chanwa sehemu mbalimbali, kidogokidogo kuanzia kwa juu kushuka chini, nikajua mamlaka husika labda wameona baadae ikaenda mbali zaidi wakakata na kung'oa kipande kizima cha fence na kutokomea nacho walikokujua wao na kuacha pakiwa wazi. Watu wanaweza ingia na kutoka bila kizuizi kutupa uchafu nk.

Hivi mamlaka za ulinzi wa watu na mali zao wameshindwa kudhibiti kitu kama hicho cha uharifu wa miundombinu?
Kinacho ni choma zaidi miundombinu hiyo imejengwa kwa kukatwa 30% ya monthly salary yangu na mamlaka za ulinzi zinakula salary kutoka kwenye 30% yangu.

Inashindikanaje kuwadhibiti vijana wa mtaani??
 
RC ni kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, hali kadhalika DC wa Ubungo naye pia katika wilaya yake. Wote hao kwa kushirikiana na wanachi na vyombo vya ulinzi na usalama wanapaswa kupata kila siku ripoti za ulinzi na usalama kupitia katibu tarafa, mtendaji wa kata, mtendaji wa mtaa katika maeneo yaliyo chini ya mamlaka zao za kiutawala.

Ni lazima kutakuwa na tatizo mahali fulani. Ni lazima taarifa imefika lakini ama imekaliwa pasipo kuchuliwa hatua stahiki (uzembe) ama kupuuziwa (umangimeza, kutokujitambua na kutokuwajibika kwa wahusika).
 
Pale watoe wamachinga wanaofanya biashara za miwa daraja lionekane.
 
Kama kungekuwa na Sheria ya kuwanyonga wanaoharibu miundombinu ingekuwa poa Sana
 
Mamlaka kazi zao ni kuhangaika tu na wanaomsema vibaya Rais, basi.
 
Kama mtu anaweza kungoa kiti alichokalia kutazama burudani ya mpira alikuwa kesho atakitumia iwe fence ya daraja ashindwe kuharibu?
Bongo Nyoso
 
Watanzania sijui tukoje,ustaarabu kwetu ni jambo gumu Sana
 
Kama watu wanang'oa hadi viti uwanja wa Mkapa, sembuse hao wanaohalibu flyover ambao watakua niwatumiaji wa magari ambao wengi hawana mafunzo sahihi ya uendeshaji Magari.
 
Naomba niende direct kwenye point;-

Huwa nachukizwa na kupata uchungu sana kuona raia wanaharibu miundombinu ya umma kwa maksudi bila sababu yeyote ya msingi. Yaani si kwa bahati mbaya wala sababu fulani justifiable iliyo sababisha uharibifu huo.

Pamoja na sehemu nyingine hapa ubungo chini ya daraja pamejengwa uzio mzuri tu kuzuia watu wasitumie eneo chini ya daraja ambapo kabla hapajawekwa uzio paligeuka sehemu ya malazi kwa vijana wadogowadogo.

Kilichonisukuma kuandika hapa; ni hali ambayo nilikuwa naiona siku kwa siku ule uzio unakatwa/chanwa sehemu mbalimbali, kidogokidogo kuanzia kwa juu kushuka chini, nikajua mamlaka husika labda wameona baadae ikaenda mbali zaidi wakakata na kung'oa kipande kizima cha fence na kutokomea nacho walikokujua wao na kuacha pakiwa wazi. Watu wanaweza ingia na kutoka bila kizuizi kutupa uchafu nk.

Hivi mamlaka za ulinzi wa watu na mali zao wameshindwa kudhibiti kitu kama hicho cha uharifu wa miundombinu?
Kinacho ni choma zaidi miundombinu hiyo imejengwa kwa kukatwa 30% ya monthly salary yangu na mamlaka za ulinzi zinakula salary kutoka kwenye 30% yangu.

Inashindikanaje kuwadhibiti vijana wa mtaani??
Maendeleo hapa Tanzania kwa baadhi ya watu inabidi kulazimisha kwa viboko! Babu yangu Mangi Moshi alikuwa akiwashushia watu mikwaju ya uhakika ili kila mmoja awe na shamba lake walau heka 1 ya kahawa. Aliyafanya yote haya kwa fimbo za nguvu matakoni na ilisaidia!
 
Naomba niende direct kwenye point;-

Huwa nachukizwa na kupata uchungu sana kuona raia wanaharibu miundombinu ya umma kwa maksudi bila sababu yeyote ya msingi. Yaani si kwa bahati mbaya wala sababu fulani justifiable iliyo sababisha uharibifu huo.

Pamoja na sehemu nyingine hapa ubungo chini ya daraja pamejengwa uzio mzuri tu kuzuia watu wasitumie eneo chini ya daraja ambapo kabla hapajawekwa uzio paligeuka sehemu ya malazi kwa vijana wadogowadogo.

Kilichonisukuma kuandika hapa; ni hali ambayo nilikuwa naiona siku kwa siku ule uzio unakatwa/chanwa sehemu mbalimbali, kidogokidogo kuanzia kwa juu kushuka chini, nikajua mamlaka husika labda wameona baadae ikaenda mbali zaidi wakakata na kung'oa kipande kizima cha fence na kutokomea nacho walikokujua wao na kuacha pakiwa wazi. Watu wanaweza ingia na kutoka bila kizuizi kutupa uchafu nk.

Hivi mamlaka za ulinzi wa watu na mali zao wameshindwa kudhibiti kitu kama hicho cha uharifu wa miundombinu?
Kinacho ni choma zaidi miundombinu hiyo imejengwa kwa kukatwa 30% ya monthly salary yangu na mamlaka za ulinzi zinakula salary kutoka kwenye 30% yangu.

Inashindikanaje kuwadhibiti vijana wa mtaani??
Wako mbuzi wanaishi kule chini je waliingia kupitia njia gani? Na ni wa Nani?
Je wahusika wa jiji mnaliona hilo au mmelala tu.
Meya upo! Mkuu wa mkoa upo? Tanroad mpo?
Kivinginevyo ni wale mbuzi watu labda.
Chama cha Mambuzi!!
 
Back
Top Bottom