naleho baba !karibu sanaUgun'gwako mayu!! Wabheja mayu!
ujaacha tu[emoji19]
MANENO HAYO, NI MANENO YA UKAAFIRmungu Pombe
mungu Uke
mungu Nyama (BBQ).
Pascal Mayalla, MBITIYAZA, Nyani Ngabu,
walwa, nyoo Na nyama.
_____&&&_______________________________
1; mungu Pombe (walwa)
anatumika kwenye kutambika, anatumika kwenye kupatanisha waliokosana Na pia anatumika kuburudisha Na kuwafariji watu baada ya kazi ngumu za kutwa nzima.
2; mungu Uke (nyoo)
Anatumika kuzaa, kuburudisha Na kufurahisha. Kuondoa stress Na kuifanya Dunia kuwa Paradise ndogo. Fikirieni Dunia Bila mwanamke ingekuwa ukiwa kiasi gani.
3; mungu Nyama
Mambo hayaendi Bila finyango za nyama. iwe choma, rosti, ili mradi pembeni una mtoto mkali Na bapa la Konyagi.
Hayo ndio maisha ya ndugu zangu
Kuna jiwe jeusi kule Maka lina uke na linaabudiwa, unalijua?M
MANENO HAYO, NI MANENO YA UKAAFIR
mungu nyoo si ndio yule mungu wa kufanya ma2C? Acha kabisa hiki kiumbe
Ila Buji kuna mmoja umemsahau mungu shekeli... Bila huyu hao wengine wote wanapumulia mashine... Uhai unakuwa nusu na robo
Hata Bikira Maria ni mungu ukemungu Uke
Unabishana na mkufunzi? 😅shekeli sio mungu ni mungu mtoto mwenye nguvu sana kuliko wazazi wake. Hii miungu mingine imekuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Leo kuna jamii nyingi zinaishi primitive life hazitumii shekeli lakini hiyo miungu mitatu ipo inadunda
Watu wanabishana Hadi na mawe, huwajui Waha?Unabishana na mkufunzi? 😅