Miungurumo ya Majenerata Upanga na Posta jijini Dar

Miungurumo ya Majenerata Upanga na Posta jijini Dar

Mm nashindwaga kuielewa serikali yetu kabisa kwann swala la nishati ya umeme wanalichukulia mzaa sana since 1980s hakuna seriousness kwenye hili swala ili ali wanaelewa kabisa bila umeme hakuna maendeleo ni kudanganyana tu..

Hawa viongozi wetu wanapataje usingizi kwenye nchi km hii yetu hata kujilikana kwake huko ulimwenguni tu ni kupapasapapasa..
Iseeee!
Sehemu ya maokoto mengi ya bwerere !!
Umeshasikia wapi tena pesa huwa zinabebwa kwenye masandarusi ??!!
 
Zambia hapo wanatuacha mbali suala la nishati ya umeme. Nchi ya kishamba sana hii. Inabidi ifike wakati kuwe na vikundi vya kuwamaliza hawa mbwa wawaue watatia akili wenzao wanaobaki.
 
Ni J Makamba hakufanya matengenezo yoyote licha ya kuahidi
Makamba alizidiwa na mabeberu. Tusimlaumu jamani. Maharage alikuwa agent wa kuhakikisha umeme unaharibika kabisa maana ukiona serikali inaweka mtu toka private kwenye nishati ujue mmekwisha. Ila ipo siku ukweli utajulikana maana Makamba na Maharage wanajua walivyomhujumu Dkt Samia. Ila ni viumbe wabaya sana na bado Mwigulu sijui kwanini kamuacha yaani naye ni moja ya waliomharibia sana Mama na Nape akiongoza. Ila tunaamini vyombo vinawashughulikia hawa watukutu
 
GTs,

Kwa wakazi kama mimi wa mitaa ya posta mpya au Upanga ni mashuhuda hizo kelele za majenerata yaani ni kama alivyotabiri Dkt Magufuli kuwa akiondoka madarakani hakuna atakayeweza kuisimamia serikali.

Viongozi waadamizi wengi ni wezi na hakika imetokea yaani hata huwezi jua jenerata lipi linalia.

Hii sisi kwa Dkt Makonda na Dkt Dotto Biteko, hakikisheni waliohujumu tanesco wakanakufa wote kisiasa wasiibuke tena wafe kabisa kabisa
Msimfanye Kipara aende kukesha katikati ya mkondo Bahari wa Nungwi ili amroge vizuri Bibi wa Kizimkazi.[emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mm nashindwaga kuielewa serikali yetu kabisa kwann swala la nishati ya umeme wanalichukulia mzaa sana since 1980s hakuna seriousness kwenye hili swala ili hali wanaelewa kabisa bila umeme hakuna maendeleo ni kudanganyana tu..
Hawa wawekezaji tunaojidai nao kuwa tunamikakati ya kuwaleta watawekeza nini sasa wakati sisi wenyewe tumeshindwa kujimudu kinishati..

Hawa viongozi wetu wanapataje usingizi kwenye nchi km hii yetu hata kujilikana kwake huko ulimwenguni tu ni kupapasapapasa..
Iseeee!
Kama tunataka tuendelee,iki kikundi cha Msoga gang ni lazima kiangamizwe!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Makamba alizidiwa na mabeberu. Tusimlaumu jamani. Maharage alikuwa agent wa kuhakikisha umeme unaharibika kabisa maana ukiona serikali inaweka mtu toka private kwenye nishati ujue mmekwisha. Ila ipo siku ukweli utajulikana maana Makamba na Maharage wanajua walivyomhujumu Dkt Samia. Ila ni viumbe wabaya sana na bado Mwigulu sijui kwanini kamuacha yaani naye ni moja ya waliomharibia sana Mama na Nape akiongoza. Ila tunaamini vyombo vinawashughulikia hawa watukutu
Bila kuwaangamiza hawa Panyaroad wa Msoga Kingdom,hatufiki.Yaani wanatakiwa wastaafishwe kwa maslahi ya Umma na iwe marufuku kugombea nafasi yoyote ya uongozi maisha yao yote!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Tunahitaji strong institutions na sio angekuwepo fulani,watu hupita ila taasisi zipo tuu.
Tunahitaji kubadili mitazamo yetu kwanza kabla hata ya hiyo strong institutions bila ya hiyo hilo hilo hitaji litabaki kuwa ndoto tu mnayoisimulia kila siku.
 
Mm nashindwaga kuielewa serikali yetu kabisa kwann swala la nishati ya umeme wanalichukulia mzaa sana since 1980s hakuna seriousness kwenye hili swala ili hali wanaelewa kabisa bila umeme hakuna maendeleo ni kudanganyana tu..
Hawa wawekezaji tunaojidai nao kuwa tunamikakati ya kuwaleta watawekeza nini sasa wakati sisi wenyewe tumeshindwa kujimudu kinishati..

Hawa viongozi wetu wanapataje usingizi kwenye nchi km hii yetu hata kujilikana kwake huko ulimwenguni tu ni kupapasapapasa..
Iseeee!
Kiujumla wabongo huwa hatupo serious kwenye mambo yetu si serikali tu.
 
Zambia hapo wanatuacha mbali suala la nishati ya umeme. Nchi ya kishamba sana hii. Inabidi ifike wakati kuwe na vikundi vya kuwamaliza hawa mbwa wawaue watatia akili wenzao wanaobaki.
Sie tunachomana moto kwa wizi wa simu ndio tunachoweza.
 
Tunahitaji strong institutions na sio angekuwepo fulani,watu hupita ila taasisi zipo tuu.
Bila mindset ya hao watekelezaji wa mifumo ni ngumu. Si ulisikia Rostam alichokiongea kipindi kile kwani unadhani utani kuwa mimi naweza piga simu mahakamani na kesi ikaisha? Au wewe ndugu yako akikamatwa na ufisadi wa mfano kuiba hela za serikali cha kwanza kama familia si mtafunga na kufanya maombi wakati institution zetu zinasema kama kuna ushahidi afungwe ila ninyi kama ndugu mtajipanga kuhonga chochote kwa hakimu ndugu yenu atoke. Kwa ufupi wizi wa Tanzania ni mfumo wa watu na siyo sheria
 
Back
Top Bottom