biznes_dealz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 392
- 153
- Thread starter
-
- #61
Nitakuja kuwaona maana Nina tatizo la macho[emoji1434][emoji39][emoji33]KICHWA KUUMA CHENYEWE, MACHO KUTOA MACHOZI NA KUWASHA KILA UNAPOTUMIA KOMPYUTA, SIMU AU TV:
MIWANI HII MAALUM ITAKUSAIDIA:
[emoji818]Kuzuia macho Kuuma, Kuwasha na Kutoa machozi yenyewe kila unapotumia KOMPYUTA, SIMU au TV
[emoji818]Kuzuia kichwa kuuma
[emoji818]Miwani hizi hazina lenzi
*BEI Tshs. 60,000
*Tunadeliver bure [emoji598]kwa wakazi wa Dar es Salaam
⠀⠀⠀
*Tunapatikana Kinondoni Studio⠀⠀⠀
[emoji338]+255-659-358-599 (Simu, Meseji, WhatsApp)
⠀⠀
*TUNATUMA MIKOA YOTE YA TANZANIA[emoji403]
[emoji1428]Kwa waliopo mikoani lipia mzigo ukikufikia⠀View attachment 1499651
Nitakuja kuwaona maana Nina tatizo la macho
Mbona Wewe unauza ghali Sana
Duuh watu wanataka kuwa matajiri haraka Sana
Sawa bwana endelea kuwauzia hivo
Kila la kher
Siinjoy kabisa kucheki series huku nimevaa miwani
Hii si kauli ya kibiashara mkuu
Hapana viongozi nilirelax wakati najibu hilo swali nikijua ataniletea ushahidi kuwa kuna sehemu amepata kwa rahisi, na mimi nilimtega kusudi wala sikuwa nimepaniki.
Mkuu usibishane nao hawa ni kikosi maalum chaku kutoa kwenye lengo
Concentrate kwenye biashara yako ukiwajibu hao utaharibikiwa nakuapia
Haya sio majibu ya kumpa mteja. Amekuuliza kwann unauza ghali, ungeweza mfuata DM ukamuelezea mkaachana. Ila ukianza mjibu kwa kejeri au madharau au kwa jazba unakuwa unakosea sana.....
Jibu alilopewa ni sahihi kabisa, kama ni gari akanunue wanapouza cheap. Wanaosema ghari ukiwauliza wap zinauzwa bei rahis aje na ushahidi atakuja na maneno matupu. Wengi wao wanaongea bila kufanya researchHaya sio majibu ya kumpa mteja. Amekuuliza kwann unauza ghali, ungeweza mfuata DM ukamuelezea mkaachana. Ila ukianza mjibu kwa kejeri au madharau au kwa jazba unakuwa unakosea sana.....
Haya sio majibu ya kumpa mteja. Amekuuliza kwann unauza ghali, ungeweza mfuata DM ukamuelezea mkaachana. Ila ukianza mjibu kwa kejeri au madharau au kwa jazba unakuwa unakosea sana.....
Tunaomba jina la kioo cha io miwan kisayansi mfano photochromatic.blue ray filter glass etcNOTE: Hizi ni goggles hazina lenzi na hazina athari yoyote na macho
______________________
* Miwani hii ni maalum kwa ajili ya kuzuia mionzi mikali itokanayo na KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV.
* Kama wewe ni muathirika wa tatizo hili utaona dalili mbaya kama zifuatazo:
* Kichwa kuuma chenyewe, macho kutoa machozi, macho kuuma kila unapotumia KOMPYUTA, SIMU au TV.
* Ukiona dalili hizo jua unaathiriwa na mionzi mikali ya kompyuta.
_______________________
Napatikana: DAR ES SALAAM, duka lipo Kinondoni Studio
________________________
BEI: Tshs. 50,000
Tuwasiliane: 0659-358-599
_______________________
MIKOANI tunatuma kwa njia salama na ya uhakika ya magari, haujawahi kupotea mzigo wa mtu katika mikono yetu.
Mikoani tunatuma kwa njia salama ya magari.
T
Tunaomba jina la kioo cha io miwan kisayansi mfano photochromatic.blue ray filter glass etc
Taja jina la miwan huwezi semq unauza miwan ya kuzuia mionzi afu umekamilisha description miwan zipo nying taja jina la miwanNinauza miwani ya kuzuia mionzi ya KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV.
Taja jina la miwan huwezi semq unauza miwan ya kuzuia mionzi afu umekamilisha description miwan zipo nying taja jina la miwan
Taja jina la miwan huwezi semq unauza miwan ya kuzuia mionzi afu umekamilisha description miwan zipo nying taja jina la miwan