INAUZWA Miwani maalum kwa ajili ya kuzuia mionzi mikali itokanayo na KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV

INAUZWA Miwani maalum kwa ajili ya kuzuia mionzi mikali itokanayo na KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV

⁣[emoji1434][emoji39][emoji33]KICHWA KUUMA CHENYEWE, MACHO KUTOA MACHOZI NA KUWASHA KILA UNAPOTUMIA KOMPYUTA, SIMU AU TV:

MIWANI HII MAALUM ITAKUSAIDIA:
[emoji818]Kuzuia macho Kuuma, Kuwasha na Kutoa machozi yenyewe kila unapotumia KOMPYUTA, SIMU au TV [emoji818]Kuzuia kichwa kuuma [emoji818]Miwani hizi hazina lenzi wala hazina madhara na macho.

*BEI Tshs. 60,000
*Tunadeliver bure [emoji598]kwa wakazi wa Dar es Salaam
⠀⠀⠀
*Tunapatikana Kinondoni Studio⠀⠀⠀
[emoji338]+255-659-358-599 (Simu, Meseji, WhatsApp)
⠀⠀
*TUNATUMA MIKOA YOTE YA TANZANIA[emoji403]
[emoji1428]Kwa waliopo mikoani lipia mzigo ukikufikia⠀
IMG_4780.JPG
IMG_0002.JPG
 
⁣[emoji1434][emoji39][emoji33]KICHWA KUUMA CHENYEWE, MACHO KUTOA MACHOZI NA KUWASHA KILA UNAPOTUMIA KOMPYUTA, SIMU AU TV:

MIWANI HII MAALUM ITAKUSAIDIA:
[emoji818]Kuzuia macho Kuuma, Kuwasha na Kutoa machozi yenyewe kila unapotumia KOMPYUTA, SIMU au TV
[emoji818]Kuzuia kichwa kuuma
[emoji818]Miwani hizi hazina lenzi

*BEI Tshs. 60,000
*Tunadeliver bure [emoji598]kwa wakazi wa Dar es Salaam
⠀⠀⠀
*Tunapatikana Kinondoni Studio⠀⠀⠀
[emoji338]+255-659-358-599 (Simu, Meseji, WhatsApp)
⠀⠀
*TUNATUMA MIKOA YOTE YA TANZANIA[emoji403]
[emoji1428]Kwa waliopo mikoani lipia mzigo ukikufikia⠀View attachment 1499651
Nitakuja kuwaona maana Nina tatizo la macho
 
⁣[emoji1434][emoji39][emoji33]KICHWA KUUMA CHENYEWE, MACHO KUTOA MACHOZI NA KUWASHA KILA UNAPOTUMIA KOMPYUTA, SIMU AU TV:

MIWANI HII MAALUM ITAKUSAIDIA:
[emoji818]Kuzuia macho Kuuma, Kuwasha na Kutoa machozi yenyewe kila unapotumia KOMPYUTA, SIMU au TV [emoji818]Kuzuia kichwa kuuma [emoji818]Miwani hizi hazina lenzi wala hazina madhara na macho.

*BEI Tshs. 60,000
*Tunadeliver bure [emoji598]kwa wakazi wa Dar es Salaam
⠀⠀⠀
*Tunapatikana Kinondoni Studio⠀⠀⠀
[emoji338]+255-659-358-599 (Simu, Meseji, WhatsApp)
⠀⠀
*TUNATUMA MIKOA YOTE YA TANZANIA[emoji403]
[emoji1428]Kwa waliopo mikoani lipia mzigo ukikufikia⠀
IMG_0001.JPG
 
Hii si kauli ya kibiashara mkuu

Kauli ya kibiashara ni ipi?
Acheni kutisha watu nyinyi mtu anatangaza biashara zake nyie mnakuja na maneno kibaaao kama waschana bwana izo miwani zinaitwa transition anti glare polarized Bei yke mara ya mwisho nimenunua cheap ilikua $150 tena ni sababu nilikua Bangladesh kule bei inakua chini sababu kuna viwanda... siku moja nilipita Mlimani city nikakuta frem tu wana uza 700,000/=tzs

Leo tu anasema 50000 ni bei kubwa si uchawi huo?
Alafu muuzaji akamwambia aende kwenye bei rahisi kwani sio lazima kununua kwake

We unasema hana kauli nzuri..
Apo nani hana kauli nzuri apo?

Jamii members badilikeni ujuaji mwingi ni ushamba.
 
Hapana viongozi nilirelax wakati najibu hilo swali nikijua ataniletea ushahidi kuwa kuna sehemu amepata kwa rahisi, na mimi nilimtega kusudi wala sikuwa nimepaniki.

Mkuu usibishane nao hawa ni kikosi maalum chaku kutoa kwenye lengo
Concentrate kwenye biashara yako ukiwajibu hao utaharibikiwa nakuapia
 
mbarika,

Si uende kwa huyo anayeuza rahisi mkuu kwani nimekushika miguu kuwa lazima ununue kwangu?
Haya sio majibu ya kumpa mteja. Amekuuliza kwann unauza ghali, ungeweza mfuata DM ukamuelezea mkaachana. Ila ukianza mjibu kwa kejeri au madharau au kwa jazba unakuwa unakosea sana.....
 
Haya sio majibu ya kumpa mteja. Amekuuliza kwann unauza ghali, ungeweza mfuata DM ukamuelezea mkaachana. Ila ukianza mjibu kwa kejeri au madharau au kwa jazba unakuwa unakosea sana.....
Jibu alilopewa ni sahihi kabisa, kama ni gari akanunue wanapouza cheap. Wanaosema ghari ukiwauliza wap zinauzwa bei rahis aje na ushahidi atakuja na maneno matupu. Wengi wao wanaongea bila kufanya research
 
Haya sio majibu ya kumpa mteja. Amekuuliza kwann unauza ghali, ungeweza mfuata DM ukamuelezea mkaachana. Ila ukianza mjibu kwa kejeri au madharau au kwa jazba unakuwa unakosea sana.....

Kwanini yeye asimfuate muuzaji dm akamwambie kua anauza ghali na fulani anauza cheap?

Kumwambia hadharani sio ustaarabu sababu km kuna mteja alitamani ku buy basi ataacha akiamini kua kumbe zipo sehm atapata kwa cheapest price na ukweli ni kua huyu jamaa ndio cheapest dealer
Mimi navaa miwani ya macho yenye shida ya mwanga icho kioo tu kariakoo ni 80000 bado frem so kuuza complete kwa 60,000

Ni mchawi tu ndio atasema ni ghali.
 
T
NOTE: Hizi ni goggles hazina lenzi na hazina athari yoyote na macho
______________________
* Miwani hii ni maalum kwa ajili ya kuzuia mionzi mikali itokanayo na KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV.
* Kama wewe ni muathirika wa tatizo hili utaona dalili mbaya kama zifuatazo:
* Kichwa kuuma chenyewe, macho kutoa machozi, macho kuuma kila unapotumia KOMPYUTA, SIMU au TV.
* Ukiona dalili hizo jua unaathiriwa na mionzi mikali ya kompyuta.
_______________________
Napatikana: DAR ES SALAAM, duka lipo Kinondoni Studio
________________________

BEI: Tshs. 50,000

Tuwasiliane: 0659-358-599
_______________________
MIKOANI tunatuma kwa njia salama na ya uhakika ya magari, haujawahi kupotea mzigo wa mtu katika mikono yetu.
Mikoani tunatuma kwa njia salama ya magari.

Tunaomba jina la kioo cha io miwan kisayansi mfano photochromatic.blue ray filter glass etc
 
Back
Top Bottom