Dansel
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 249
- 59
Wakuu, Habarini
Naombeni msaada kwenye tuta.
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya macho na kutoona kuona vizuri hususani kwenye mwanga mkali.nimefanya Eye diagnostic na kuwa recommended kuvaa miwani lens power (0.75). Naomba kufahamu wapi naweza pata miwani (frame na lens yake) kwa bei nafuu. I prefer photochromic lens kutokana na kutumia computer kwa mda mrefu.
Naombeni msaada kwenye tuta.
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya macho na kutoona kuona vizuri hususani kwenye mwanga mkali.nimefanya Eye diagnostic na kuwa recommended kuvaa miwani lens power (0.75). Naomba kufahamu wapi naweza pata miwani (frame na lens yake) kwa bei nafuu. I prefer photochromic lens kutokana na kutumia computer kwa mda mrefu.