Miwani ya macho

Lens 15@ each, flame chagua mwenyewe kadri ya uwezo wako. Kuanzia 15 elf na kuendelea....
 
Nipo karibu sana na halo Temeke, nitapita hapo kuangalia, amante sana Mr. Kennedy
 
Sorry jaman, unaweza kupima macho kwenye maduka wanayouza miwani na kununua hapo hapo au lazima hospital? Maana mimi nilipima hospital Ifakara nikawa Directed kutumia miwan bt hawakuwa nayo wao so nikapanga kununua mafukani ila sikununua,,, sasa kwa sasa nina mpango wa kufanya checkup tena na ninunue miwan
 
Lens 15@ each, flame chagua mwenyewe kadri ya uwezo wako. Kuanzia 15 elf na kuendelea....
Mkuu hii safi sana, Asante sana kwa Taarifa. Ubarikiwe
 
Nenda Mnazi mmoja Hospital, kitengo cha Macho.
 
Nitafte nikutengenezee miwan chamsingi njoo na vipimo bei maelewano ndogo Tu namba 0776371092
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…