Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Hiyo uliyovaa wewe kwenye DP ni shilingi ngap?unataka kusemaje bi ajuza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo uliyovaa wewe kwenye DP ni shilingi ngap?unataka kusemaje bi ajuza?
Buku jeroHiyo uliyovaa wewe kwenye DP ni shilingi ngap?
Kuna sehemu mimi nimesema kua wewe umesema ni ya gharama? Punguza ujinga.Kuna sehemu tumesema ni ya gharama? Punguza shobo
Tafuta kazi ya kufanya usije ukawapa tabu watu wengine uzeeni mwako,unaleta uzoefu wako wahuni tulivyokufanya siku ile…pumbav sana
Sasa si tufanyeje?mkabe uibe uone cha mtma kuni.Ni miwani aina ya Alexander Mcqueen AM0372S-001 ambayo ni custom made with Diamond plated. Bei yake ni Euro 243 ambazo ni sawa na pesa ya madafu Shilingi 688,920/=View attachment 3015799View attachment 3015800
Atskwambia hio ya kichina Feki
"Pesa kazipata kwa kuitapeli Simba."Sasa HAPO shida ni nini? Pesa Si zake au za Babako?
Una ushahidi? Una Mwanasheria? Au unabwabwaja tu?
Tajiri gani anavaa ya bei rahisi kama wafugaji wa Kisukuma? Rutziger anavaa saa ya 243m wewe unashangaa tu ka miwani la laki 6?Ni miwani aina ya Alexander Mcqueen AM0372S-001 ambayo ni custom made with Diamond plated. Bei yake ni Euro 243 ambazo ni sawa na pesa ya madafu Shilingi 688,920/=View attachment 3015799View attachment 3015800
Tatizo mo umemjuwa juzijuzi, historia ya mo kuingia Simba toka 2003 imejaa damu za watu wasio na hatua.