Miwani ya Mo Dewji jana ina thamani ya Laki 6

Miwani ya Mo Dewji jana ina thamani ya Laki 6

1000106780.jpg

Hii ya Mangungu bay ni afutatu
 
unaleta uzoefu wako wahuni tulivyokufanya siku ile…pumbav sana
Tafuta kazi ya kufanya usije ukawapa tabu watu wengine uzeeni mwako,

Yani unafuatilia matumizi ya hela za mwanaume mwenzako! Huoni hata aibu? Hapo ukute Babako hua anajisifia huko kwenye vijiwe kua ana mtoto wa kiume!
 
Ya kawaida tu

Avovaa Kioo cha kushoto hio reflection ndani kama kiuchi cha Mwanamke mzungu kha!🙌

Cc Smart911
 
"Pesa kazipata kwa kuitapeli Simba."

rodrick alexander
Tatizo mo umemjuwa juzijuzi, historia ya mo kuingia Simba toka 2003 imejaa damu za watu wasio na hatua.
Sijui. Kama unamfahamu Dr. Fupi aliyekuwa mkemia. Mkuu wa serikali. Kama hujui kampuni yao ilikuwa na kashifa ya kuleta mchele mbovu na baada ya mashahidi kujataa kununuliwa waliamua kumwuua Tena kwa kutumia watu wenye silah na mashahidi wengine wote wakafa video vya ajabuajabu. Kwa kujisafisha wakajiingiza kwenye mpira.
Jana Mpina ameeleza alivyohusika kwa kushirikia na waziri wa kilimo na waziri wa fedha kupandishia watu Bei ya sukari na kutakatisha pesa. Mimi na Mpina hatujuani lakini Jana Mpina kamwelezea mo katika angle nyingine halafu unadanganywa na miwani.
 
Back
Top Bottom