Mixer Za Konyagi

hahahaha mi hizo hamna aic,naishia smirnorf black ice basi!mi kinywaj must kiwe sweet
FYI konyagi chupa kubwa zaidi (mpya) pamoja na K-Vant zina sukari sana (sweet). Mm napenda Konyagi ya chupa ya size ya kati (bapa ya zamani) ni chungu, na ndio utamu halisi naoutaka, siyo wa sukari.
Kwa sababu ww unapenda sweet Konyagi kubwa (mpya) na K-Vant zinakufaa, ama cocktail mix na Malta Guiness au Power Malta.
 


teh teh! namanisha usweet haswa km nakunywa robrtson sipnd uchungu mie ! ntataste siku 1
 
teh teh! namanisha usweet haswa km nakunywa robrtson sipnd uchungu mie ! ntataste siku 1

Ni sweet haswaaa, cyo chungu.. labda unapokunywa kavu ni kawaida kuhisi kama moto flani unakuchoma mdomoni na kwenye koo.
 
Adam hakudanganywa, mwanamke hana kipaji cha kumdanganya mwanaume, sema wanaume wakishapenda hujitoa kafara kwa wapenzi wao. Adam alijua nini kitamtokea ila hakuwa tayari kimtokee Eva pekeyake.
Swadata
 
Raha ya KONYAGI ipige kavu kavu tena ipige kwa shots kudaDeQ....
Afu jikoni umeagiza mdudu ako swaffii....
Afu kwa mbaali unackia bolingo ya taratiibu...
Raha ya hapo ase RAHA YA HAPO ASEE....
Naelewa Sana Mambo Ya Mdudu Na Nyagi
 
Kuna jamaa hapa wanaita Morogoro, location...Morogoro hawa jamaa wana ndoo ya lita kumi wanachanganya
Konyagi labda bapa 2, banana 10, Eagle bier, balimi, fanta orange, valuuu cjui, wanamix na ugoro, ndooo inajaa kisha wana vikombe vyao maalum, kifupi wanachanganya bia zote zilizopokaunta, ni vijana tuu, sasa baada ya kunywa huo mkorogo, ikishapita nusu saa, ukipita eneo hilo utazani kuna ajali imetokea, nimeona hii Morogoro jirani na uwanja wa sabasaba
 
Nikiwa form six, nilikua na mwanangu mmoja hivi tuliivana sana, sasa wikendi tulikua tunasepa skul tunaingia kitaa kugida mtungi.. Mwanangu alikua anatengeneza cocktail ndani ya tumbo.. Mkifika kaunta anakunywa vinywaji karibu vyote vya kaunta lakini kila kinywaji anakunywa ujazo mmoja (Mara moja tu, kikikata anaagiza aina nyingine) sasa kuna siku bwa shekhe alienda peke yake (nilikua na mishe mingine camp) alifanya umafia vibaya sana, nilikuja kupewa taarifa kama saa kumi usiku "kua mwamba kalala mtaroni na alifika hapo kwa kutambaa". kwenda kumcheki yuko hoi bin taaban malikit. Daaah ila Kamanda alikua anagida aisee, mixer mipuri na mafegi.
 

Kaka hiyo inapigwa kavu huku ukichanganya na slice za Limao, Pilipili mbuzi na vipande vya barafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…