Jamiiforums kuna wasomi wengi nadhani ila nini wanafanya nje ya jamiiforums? Utagundua shida sio ujinga maana hata huo ujinga unaweza kutumika kufanya mapinduzi. Waarabu wametuzidi elimu kiasi gani ila hakuna mambo kama yetu huku.Viongozi wetu wanatumia fursa ya ujinga wa wananchi kufanya mipango yao michafu. Wanajua kabisa watanzania wengi kichwani hamna kitu.
Hio ndio tabia ya Nyumbu, mmoja wao akiwa attacked wengine wanakaa pembeni wanamshangaa anavyolia kwa uchungu huku akitolewa roho na kundi dogo la simba.Hili jambo ndiyo hatari yenyewe...
Mkuu katika watu zaidi ya milioni 60 hao wa simba na yanga wako milioni ngapi hadi uone tatizo ni kushabikia simba na yanga?Watu wako Serious kwenye Simba na Yanga mpaka wengine wanajiua.
Waarab wana uthubutu sisi hatuna...Jamiiforums kuna wasomi wengi nadhani ila nini wanafanya nje ya jamiiforums? Utagundua shida sio ujinga maana hata huo ujinga unaweza kutumika kufanya mapinduzi. Waarabu wametuzidi elimu kiasi gani ila hakuna mambo kama yetu huku.
Katafuta mbuzi wa kafara...Mkuu katika watu zaidi ya milioni 60 hao wa simba na yanga wako milioni ngapi hadi uone tatizo ni kushabikia simba na yanga?
Wanaweza kuzidi asilimia 90%Mkuu katika watu zaidi ya milioni 60 hao wa simba na yanga wako milioni ngapi hadi uone tatizo ni kushabikia simba na yanga?
Tatizo tunaogopa wanapotumia gobore kuuwa mbu hapo ndio tatizo linapoanzia kila mtu anatamani kuongea ila nani atamlinda baada ya kuongea vanessa mdee alipokuwa Tanzania alikuwa mtiifu ila sasa hivi yupo marekani anapaza sauti kwa hyo lazima uangalie mara mbili mbili kabla hujachangia.Wakati mwingine mtu unatamani kusema sisi watanzania ni majuha lakini unaheshimu uumbaji wa Mungu wetu.
Jinsi mambo ya hovyo yanayofanywa na baadhi ya watu tuliowapa madaraka yanavyotia kinyaa, mtu unatamani kusonya lakini ukweli ulio mbele yetu unakutia aibu.
Wakati mwingine unaposikia mtu anasema "Kuna watu ni mazuzu" unaanza kudhani anatusema sisi, hasira zinakupanda lakini unatulia unapokumbuka uhovyo hovyo tulio nao.
Ni lini watanzania tutajua kwamba Hawa wanaofuja, kutapanya na kuiba mali za Umma/serikali huwa wanatuibia sisi!??
Kifanyike nini kwetu hadi tuone kwamba tunatakiwa kuasi dhidi ya mafisadi na wezi wanaotuibia kupitia nafasi za kimadaraka walizo nazo!?
Ni lini tutajitofautisha kiakili na utashi kati ya sisi tulioumbwa binadamu na Ng'ombe!?
Kuvumilia kwetu mambo ya hovyo hakuoneshi kuwa sisi hatukustahili kujitawala!!??
Kwa ivo tunataka nani aongee Kwa niaba yetu... Au tumezoea maumivu!??Tatizo tunaogopa wanapotumia gobore kuuwa mbu hapo ndio tatizo linapoanzia kila mtu anatamani kuongea ila nani atamlinda baada ya kuongea vanessa mdee alipokuwa Tanzania alikuwa mtiifu ila sasa hivi yupo marekani anapaza sauti kwa hyo lazima uangalie mara mbili mbili kabla hujachangia.
Ni kweli kabisa, ujinga plus njaa matokeo yake ndyo haya. Hata wasomi wananunulika na kukosa uadilifu kutokana na njaa zaoJamiiforums kuna wasomi wengi nadhani ila nini wanafanya nje ya jamiiforums? Utagundua shida sio ujinga maana hata huo ujinga unaweza kutumika kufanya mapinduzi. Waarabu wametuzidi elimu kiasi gani ila hakuna mambo kama yetu huku.
Hawatakuelewa hata kidogo!Wakati mwingine mtu unatamani kusema sisi watanzania ni majuha lakini unaheshimu uumbaji wa Mungu wetu.
Jinsi mambo ya hovyo yanayofanywa na baadhi ya watu tuliowapa madaraka yanavyotia kinyaa, mtu unatamani kusonya lakini ukweli ulio mbele yetu unakutia aibu.
Wakati mwingine unaposikia mtu anasema "Kuna watu ni mazuzu" unaanza kudhani anatusema sisi, hasira zinakupanda lakini unatulia unapokumbuka uhovyo hovyo tulio nao.
Ni lini watanzania tutajua kwamba Hawa wanaofuja, kutapanya na kuiba mali za Umma/serikali huwa wanatuibia sisi!??
Kifanyike nini kwetu hadi tuone kwamba tunatakiwa kuasi dhidi ya mafisadi na wezi wanaotuibia kupitia nafasi za kimadaraka walizo nazo!?
Ni lini tutajitofautisha kiakili na utashi kati ya sisi tulioumbwa binadamu na Ng'ombe!?
Kuvumilia kwetu mambo ya hovyo hakuoneshi kuwa sisi hatukustahili kujitawala!!??
Inasikitisha mno...Hawatakuelewa hata kidogo!
Nchi yetu mkuu haitambui uhuru wa maoni ya wananchi wakuu wanataka kusifiwa tu na chawa wanapewa nafasi za juu huko kwa hyo vijana wamebadili gia angani.Kwa ivo tunataka nani aongee Kwa niaba yetu... Au tumezoea maumivu!??
Kazi SanaHiyo unayoiona ni mizaha inafanywa na watu basi ndio sifa kuu ya Mtanzania.
Kelele zote Huwa ni fitina za kukosa
Tena kazi kweli kweli...Kazi Sana