Albert Wilson Albert
Senior Member
- Aug 22, 2018
- 191
- 226
Ni nini kinasababisha Wauza gesi ya Kupikia kutokuwa na Mizani pamoja kuwepo kwa matamko yasiyo tekelezwa mara kwa mara?
Gesi tunauziwa ujazo ambao siyo kwa Bei ile ile hili ni tatizo kubwa kwa Wasambazaji na Wauzaji wa Gesi.
Waziri wa Nishati hii hali unaichukulia vipi?
Kwa kifupi ujazo siyo sahihi
Hakuna muuza gesi mwenye Mzani, ni kipi kinafanya kusiwepo mizani?
Gesi tunauziwa ujazo ambao siyo kwa Bei ile ile hili ni tatizo kubwa kwa Wasambazaji na Wauzaji wa Gesi.
Waziri wa Nishati hii hali unaichukulia vipi?
Kwa kifupi ujazo siyo sahihi
Hakuna muuza gesi mwenye Mzani, ni kipi kinafanya kusiwepo mizani?