Nani mzinzi mkuu? Umejuaje jamaa mlafi?Ila uzinzi na ulafi imeruhusu sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani mzinzi mkuu? Umejuaje jamaa mlafi?Ila uzinzi na ulafi imeruhusu sio
Mimi naumia wewe kumiliki kababywalker badala ya SUV!Uzuri uislamu unakataza kabisa masuala ya pombe. Hata siumii. Safi.
Haikua na gesti au angalau chumba kimoja Cha mapumziko?
Legends knows how...!!![emoji2][emoji2][emoji2]Haikua na gesti au angalau chumba kimoja Cha mapumziko?
Uligeuzwa kanisa lakini 'zile nyumba' bado zipoUle uwanja wa fisi kule manzese bado upo?
Manzese ilikua enzi hizo. Malaya wa Kihaya wa kumwaga shilingi tano yako tu unapona enzi hizo Mambo Ni nyama nyama.
Siku hizi hakuna starehe bali kuna uchafu tuuManzese ilikua enzi hizo. Malaya wa Kihaya wa kumwaga shilingi tano yako tu unapona enzi hizo Mambo Ni nyama nyama.
Tatizo Ni wakati wa kutoka kwa mhaya, mtu anakua na aibu utakuta uso umeangalia chini huku mkono mmoja ukiwa mfukoni.
Enzi za Beston bar na Ile bar ya kina Chipungahelo aka Mary chips
Wakati ule mtu unahonga kreti la bia!Enzi za Beston bar na Ile bar ya kina Chipungahelo aka Mary chips
Naam SheikhNa maporomoko ya pombe
Mjinga wewe nipo na sheikh tunakula kitimoto hapaUzuri uislamu unakataza kabisa masuala ya pombe. Hata siumii. Safi.