Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Maturity ya chama is next to noneForm za wagombea nafasi zilitoka lini??
Sio kwamba ye ndio atasaidia kumpata mtia nia mpya Mwaka huu ndani ya chama!!?Mimi naamini kuwa ni lazima atakuwa yeye kwa sababu huyu ndiye aliwahi kuokoa jahazi kwenye situation nyingine inayofanana na hii iliyotokea mwaka 2007
Mgombea u-Rais wa 2025-2030; kama siyo Rais, taayari anajulikanaSio kwamba ye ndio atasaidia kumpata mtia nia mpya Mwaka huu ndani ya chama!!?
Mbona mnatuchanganya sasaWaziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bwana Mizengo Peter Pinda, ndiye Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara anayetarajiwa kutangazwa hivi karibuni.
Ndugu Mizengo anatarajiwa kupigiwa kura za ndiyo ama hapana mapema hivi karibuni kwenye Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Hongera WM mstaafu ndugu Mizengo.
Hana uwezoWaziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bwana Mizengo Peter Pinda, ndiye Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara anayetarajiwa kutangazwa hivi karibuni.
Ndugu Mizengo anatarajiwa kupigiwa kura za ndiyo ama hapana mapema hivi karibuni kwenye Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Hongera WM mstaafu ndugu Mizengo.
Hana bayaWaziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bwana Mizengo Peter Pinda, ndiye Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara anayetarajiwa kutangazwa hivi karibuni.
Ndugu Mizengo anatarajiwa kupigiwa kura za ndiyo ama hapana mapema hivi karibuni kwenye Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Hongera WM mstaafu ndugu Mizengo.
Hawachukuagi fomu mwenyekiti na wapambe wake wanaamua tu, hawataki demokrasia na uwazi yakawakuta ya CHADEMAForm alichukua lini?