Tetesi: Mizengo Peter Pinda ndiye Makamu M/kiti CCM Bara

Tetesi: Mizengo Peter Pinda ndiye Makamu M/kiti CCM Bara

MakamuCCM ni cheo cha wazee na wastaafu......Pinda yes anafaa maana yeye ndio ndio mzee x 100
 
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bwana Mizengo Peter Pinda, ndiye Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara anayetarajiwa kutangazwa hivi karibuni.

Ndugu Mizengo anatarajiwa kupigiwa kura za ndiyo ama hapana mapema hivi karibuni kwenye Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Hongera WM mstaafu ndugu Mizengo.
Kwanini wanaweka watu waliokwishakula nchi na kustaafu?
 
Tatizo.la CCM wanachagua watu wasio na mvuto wa kisiasa ..nguvu za mwili zimeshaisha - eti utii wa chama.

Hii position ingemfaa sana Polepole Mzee wa weka moshi shimoni wahuni wachomoke.
 
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bwana Mizengo Peter Pinda, ndiye Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara anayetarajiwa kutangazwa hivi karibuni.

Ndugu Mizengo anatarajiwa kupigiwa kura za ndiyo ama hapana mapema hivi karibuni kwenye Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Hongera WM mstaafu ndugu Mizengo.
Mbona wengine wanasema ni "Nchimbi "
Katibu atakuwa polepole
 
Kwanini wasiwekwe vijana kuna akina Mavunde wapo vizuri sana,wakati mngine tunatamani nchi ishiwekwe angalau na vijana
 
Nasikia pia Yusuph makamba anaweza pewa hicho cheo ila hapo watakuwa wamehatibu vibaya mnoo in Manyema voice ♥️
 
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bwana Mizengo Peter Pinda, ndiye Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara anayetarajiwa kutangazwa hivi karibuni.

Ndugu Mizengo anatarajiwa kupigiwa kura za ndiyo ama hapana mapema hivi karibuni kwenye Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Hongera WM mstaafu ndugu Mizengo.
..duh kwa hivo jina liko kwenye pochi ya Samia?😂
 
Akae yeyote ila utekaji usiwepo. Ripoti ya kibao isomwe hadharani.
 
Back
Top Bottom