Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wanabodi,
Wakuu huyu baba alikuwa wapi siku zote? Kwani bado yupo kwenye siasa?
Mlezi wa CCM Mkoa wa Mtwara, Mizengo Pinda, amewahimiza viongozi na wanachama wa chama hicho kutobweteka na mafanikio ya uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa, ambapo maeneo mengi yalishinda bila kupingwa.
"Tumieni muda uliobaki vizuri kwa ajili ya kupeleka nguvu kwenye mashina na matawi ambayo ndio yanayosaidia kuongeza uelewa na kura siku ya uchaguzi na kuzidi kuimarisha chama,"
Source: Jambo TV
Wakuu huyu baba alikuwa wapi siku zote? Kwani bado yupo kwenye siasa?
Mlezi wa CCM Mkoa wa Mtwara, Mizengo Pinda, amewahimiza viongozi na wanachama wa chama hicho kutobweteka na mafanikio ya uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa, ambapo maeneo mengi yalishinda bila kupingwa.
"Tumieni muda uliobaki vizuri kwa ajili ya kupeleka nguvu kwenye mashina na matawi ambayo ndio yanayosaidia kuongeza uelewa na kura siku ya uchaguzi na kuzidi kuimarisha chama,"