Mizengo Pinda declares assets in anti-graft drive


Nakubaliana na mzungumzo yako. Pia Pinda ametangaza kutogombea tena ubunge, means hautaki tena Uwaziri Mkuu. WHY? Think Big.
 
Kikwete atatangaza leo jioni, Kesho ni zamu ya Lowassa na Karamagi!
 
How does he manage to pay tution fees for his two children who are studying at a foreign college which costs him more than U.S.$ 40,000 per annum? najua atasema allowances. Uzuri wa mkakasi......
 
1. Sina mashaka na ujamaa na kujivunia umaskini kwa PM wetu, surely kama hivyo ndivyo alivyo navyo tu hastahili kuwa PM wa Tanzania... Tunataka mtu anayechukia umaskini kwa vitendo, na mtu wa namna hiyo lazima angekuwa better than utajiri huo mdogo saana aliosema... kwangu ni maskitiko... yale yale kuona umaskini ni jambo la kujivunia.

2. Tanzania kweli tunamatatizo, account balance sio kigezo cha kumpima mtu ana kiasi gani, kwa kuwa ni record ambayo ni valid au invalid wakati wowote. Kwa taarifa kwa wadau hata fisadai mkubwa kabisa anaweza ku-withdraw hela zote na accounts ikabakiwa na TZS 10. au even overdraft, hivyo aidha kigezo ingekuwa kuona bank statement ya miaka mitano ya nyuma au kuangalia kiasi kikubwa kabisa kilichoingizwa kwenye account au kutolewa na sio balance.
 
Tunaomba form template itundikwe hapa jamvini.

Natanguliza shukrani!
 

Wakuu, ninaijua nyumba yake ya Dodoma, Pia ya MPanda. nimebahatika kuijua familia ya huyu jamaa kwa hiyo mambo aliyosema nina uhakika nayo 90%

Labda hapo kibaoni kwa babu yake ndiyo sijafika. Ni Mkweli.
 
HAPA swala la msingi ni moja awe na ujasiri wakutuambia alicchochuma mara baada ya uwaziri mkuu wake kukoma, otherwise asante kwa ujasiri.
 
Mwanakijiji

Mkuu endelea kuota JK aseme mali zake? Hapo ndio utaona wanavyoruka viunzi, tunasubiri kama watajaza fomu. Hivi ni kwa nini hawajazi zile fomu wakati kuna sheria zinazowabana wafanye hivyo.

Hili fagio naona ingewaangukia hata wabunge wataje za kwao maana nao ni wawakirishi wa wananchi, kwa hiyo ni muhimu wananchi wajue viongozi wao wanamiliki mali gani na wamezipata lini na kipato kipi.
 
Tuseme kweli jamani,pinda si mla rushwa kama akina Lowassa na wenzake,maana kwa nafasi alizoshikiria tangu 1974 angekuwa ni mmoja wa matajiri hapa bongo. Maana makampuni mengi ya wawekezaji hapa nchini yana mikono ya wakubwa wa siasa.
 

Hapo penye Red, ina maana anajenga nyumba kwa ajili ya kukaa hadi mwisho wa mwaka huu au ameshajihakikishia kuendelea kuwa PM for the next term??

Kama ana mali hizo tu yeye na familia yake yote, na hakuna zingine zilizo kwa jina la mke, mtoto, au kampuni basi safi.
 
huyu mzee ni MSAFI wakuu....!
muacheni huru
 

Kama sikosei mawaziri wakuu wastaafu wanapewa ulinzi, dereva na mhudumu ata baada ya kustaafu. Kwa hiyo nadhani anamaanisha baada ya kustaafu, kwa sasa akienda uko kwao anafikia Ikulu ndogo.
 
He is not saying the thruth. Anasema ana akiba benki kati ya 20 - 25 million. Hana uhakika na akiba yake. inawezekana ni zaidi ya hiyo aliyotaja.
Tusubiri tuone mwisho wa haya yote.
 
NAJISIKIA FURAHA SANA KUONA WAZIRI MKUU ANAKUWA FREE KUSEMA MALI ZAKE, JAMAN NILAZIMA TUKUBALI WAZIR MKUU ANATISHA KTK KAZI ZAKE ANAFANYA MAMBO YAKE KIMYA KIMYA NA HII NIKWASABABU NCHI IMECHAFULIWA NA MDUDU RUSHWA. KAMA UNATAKA KUJUWA UKWELI TUMPE UWAZIR KWA MARA YA PILI NA IKIMPENDEZA MUNGU AWE RAIS HAKIKA TAIFA LITAKUWA NA MAENDELEO, JK KWA SASA KAMFUNGA SPËED GAVANA ILA WEWE NGOJA TEM YA PIL KILA MTU ATAFUNGUA MDOMO WAZI, PINDA ATALINYO OSHA HILI TAIFA NA KAMA SII PINDA TUNAYE MAGUFULI, SPIKA SITA, PINDA WEL NATARAJIA TAIFA JIPYA NA KWA BAHAT MBAYA MAFISAD WATAKUFA KWA PRESHA, FEDHA ZAO ZITAKUWA KAMA PAMBA NA KUPEPERUKA NAKURUD KTK MIKONO YA SERIKAL, NALIPENDA TAIFA LANGU NA NINA IMAN HILI NI TAIFA KUBWA KULIKO YOTE DUNIAN, LENYE WATU WENYE AKILI ZA AJABU. God bless Tanzania and God bless u Tanzanian. Thank u.
 
Hivi inawezekana waziri mkuu aamue kutangaza mali zake bila kui brief ikulu?Utakuta ana kabla hajamua kufanya hivyo alishamweleza Rais!Ili wengine wafuate na haswa na mawaziri waliopo sasa, tunaelekea uchaguzi mkuu janja imeshaanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…