Mizengwe wa TFF idadi wachezaji wa kigeni

Mizengwe wa TFF idadi wachezaji wa kigeni

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
Kama TFF itafata maelekezo ya Nyange Kaburu eti iruhusu wachezaji saba sasa vilabu vigomee mechi za kipuuzi isipokuwa ligi na klabu bingwa Afrika .

Mimi nashangaa watu wanapiga kelele uongozi wa malinzi malinzi hafai hata kidogo alipokuwa yanga hakufanya lolote

ulikuwa mzigo na bora uende TFF huko Yanga hawataki watu kama hao leo hii angefagiliwa siku nyingi.
 
Weka vizuri Maelezo yako mkuu tupate kushare mawazo
 
Jamaa kaandika kama amebanwa na GOGO, mkuu si ungeenda kulishusha kwanza halafu uludi uandike vizuri
 
Kama TFF itafata maelekezo ya Nyange Kaburu eti iruhusu wachezaji saba sasa vilabu vigomee mechi za kipuuzi isipokuwa ligi na klabu bingwa Afrika

Nahisi kuna harufu ya kumkwepa mnyama kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe. Bahati mbaya sana ni kwamba hii mechi haiandaliwi kwa matakwa ya TFF bali wadhamini wa hivyo vilabu viwili, yaani Bia ya Kilimanjaro. Kama Yanga inaona inadhalilishwa ikicheza mechi hiyo, ni kiasi tu cha kujitoa kwenye udhamini huo.

Hayo mengine ya Nyange Kaburu na wachezaji saba wala hayahusiani na mechi za nje ya ligi pamoja na kwamba haueleweki ulitaka kuandika nini. Tulia upange hoja yako vizuri watu wakuelewe, vinginevyo hizo hasira ukiendekeza utaendelea kudondoka na kubebwa na timu ya red cross kwenye machela uwanjani kila mkikutana na mnyama
 
Nahisi kuna harufu ya kumkwepa mnyama kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe. Bahati mbaya sana ni kwamba hii mechi haiandaliwi kwa matakwa ya TFF bali wadhamini wa hivyo vilabu viwili, yaani Bia ya Kilimanjaro. Kama Yanga inaona inadhalilishwa ikicheza mechi hiyo, ni kiasi tu cha kujitoa kwenye udhamini huo.

Hayo mengine ya Nyange Kaburu na wachezaji saba wala hayahusiani na mechi za nje ya ligi pamoja na kwamba haueleweki ulitaka kuandika nini. Tulia upange hoja yako vizuri watu wakuelewe, vinginevyo hizo hasira ukiendekeza utaendelea kudondoka na kubebwa na timu ya red cross kwenye machela uwanjani kila mkikutana na mnyama

kwa taarifa yako unakumbuka kipigo cha coast sisemi mengi subiri
 
Nahisi kuna harufu ya kumkwepa mnyama kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe. Bahati mbaya sana ni kwamba hii mechi haiandaliwi kwa matakwa ya TFF bali wadhamini wa hivyo vilabu viwili, yaani Bia ya Kilimanjaro. Kama Yanga inaona inadhalilishwa ikicheza mechi hiyo, ni kiasi tu cha kujitoa kwenye udhamini huo.

Hayo mengine ya Nyange Kaburu na wachezaji saba wala hayahusiani na mechi za nje ya ligi pamoja na kwamba haueleweki ulitaka kuandika nini. Tulia upange hoja yako vizuri watu wakuelewe, vinginevyo hizo hasira ukiendekeza utaendelea kudondoka na kubebwa na timu ya red cross kwenye machela uwanjani kila mkikutana na mnyama

Wa mchangani upo kaka? Hujambo lakini?
 
Hii jf siku hizi imeingiliwa. Jamani mtu ukiamua kuanzisha uzi hebu jaribu kutoa maelezo ya kutosha ili watu waweze kuchangia na jambo lipate ufumbuzi.
 
Hivi aliyeleta hoja ya kuongeza wachezaji wa kigeni ni Kaburu au Yanga. Kumbukumbu zangu zinasema hadi barua Yanga imeandika kuomba TFF sasa hapo Kaburu anaingiaje?
Nyie tulieni tu na yule beki wenu Oscar Joshua mtachora chini mwaka huu
 
Hivi aliyeleta hoja ya kuongeza wachezaji wa kigeni ni Kaburu au Yanga. Kumbukumbu zangu zinasema hadi barua Yanga imeandika kuomba TFF sasa hapo Kaburu anaingiaje?
Nyie tulieni tu na yule beki wenu Oscar Joshua mtachora chini mwaka huu
alioomba yanga 10 ila kuna habari tff wanataka kupitisha 7 na ndio kaburi alivyotamka nafikiri hapo utakuwa umelewa
 
Soka letu hata halieleweki linaelekea wapi.
 
Back
Top Bottom