Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kabisa yanasababisha foleni na uharibifu mkubwa wa barabara
Mafanikio ya treni ya abiria kwa sasa kufika Dodoma yanatia moyo.
Hata hivyo ufanisi wa reli kiuchumi ni usafirishaji wa mizigo.
Muda umefika sasa kwa wizara ya uchukuzi kuanza kuratibu namna ya kuyaondoa malori barabarani.
Juhudi za kufufua Central Railway ziendane sambamba na kufufua reli ya TAZARA.
Hongera SGR kwa mwanzo mzuri.