Mizimu ya Afrika inatushangaa waafrica

Mizimu ya Afrika inatushangaa waafrica

Azimio la kazi

Senior Member
Joined
Jun 7, 2023
Posts
138
Reaction score
452
Moja ya jambo la ajabu so TANZANIA bali takribani mataifa Yote ya Africa, somo la kiingeleza yaani English ni compulsory ilhali somo la kilimo yaani agriculture ni option.

Hivi sisi wa Afrika nani alieturoga.

Mizimu inaumia sana inap ona hivi vituko.
 
Hiyo mizimu kama ni watu waliokufa zamani kwanini na wao walifanya biashara ya utumwa wakauza wenzao
 
Back
Top Bottom