Mizinga ipungue jamani, mnatesa wanaume

Ukitaka kula vinono kazima uwe na pesa
 
Kwani lazima?
 
Afadhali umesaidia kuniandikia kero yangu. Halafu unaambiwa kabisa tuma na ya kutolea!
 
Ni kweli mahi😭
Zile Saba ntawamisi😭
Hasa wewe
Dah pole sana my love, nimechek pm naona umefunga 😔 ila dah nimekuonea huruma sana.

Mungu yupo na kama n wako atabaki kuwa wako, wakati wa mungu ndio wakati sahihi.
 
Wazee wa kununua hatuna mambo hayo, DC anatuonea wivu
Mimi nawashangaa sana wanaume ambao wanawekeza kwa mwanamke wakati wanawake washaweka wazi kwa maneno na vitendo kwamba kwao mapenzi ni biashara ya ukahaba, wanachotofautina kuna makahaba wa direct na makahaba wa indirect. Mwanamke anataka hela yangu mimi nataka sehemu ya kumaliza nyege zangu tunafanya exchange siku zinaenda tukichokana kila mmoja anatafuta business partner mwingine.
 
Tumia pesa kulingana na kipato chako.... Yaani wewe ukiwa huna uwezo wa kununua iphone usimuone aliye nayo kama anafanya ufujaji wa pesa.... . Hata anayehonga nguo ya 2000 pia ndio kipato chake.
 
Hata wewe ukinipa roho yako, nakutunzia Mama 😂😂
 
Huyo ni mpuuzi. Sheria Iko hivi kuhonga kusizidi 1/3 ya kipato chako.
 
Ndo mana mm mpaka leo hii nna miaka 35 lkn sijawahi kuwa na mpenzi wala sijawahi kufanya mapenzi, nasubir wakati wa mungu anipe mke
Una changamoto za afya ya akili mtafute mmasihi akusaidie otherwise utajaolewa! Ndio maana una hoja za hivyo Sana humu jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…