Mizinga ipungue jamani, mnatesa wanaume

Hawezi kuwa dume huyo ni boya pro max ..
Hivi huwa mnashikiwa bunduki kutoa hizo hela?
 
Tumia pesa kulingana na kipato chako.... Yaani wewe ukiwa huna uwezo wa kununua iphone usimuone aliye nayo kama anafanya ufujaji wa pesa.... . Hata anayehonga nguo ya 2000 pia ndio kipato chake.
Haswaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Urembo unawazidi nguvu wasichana - Nikki wa Pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…