Pre GE2025 Mjadala: Demokrasia Yetu, Viongozi Wetu

Pre GE2025 Mjadala: Demokrasia Yetu, Viongozi Wetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ndivyo vitalikomboa taifa hili la maziwa na asali, bila wananchi kuungana na kupaza sauti zetu hakuna malaika atashuka kuja kutukomboa
Shida ni hapo kwa wananchi kuungana, vijana tumekalia uchawa na viongozi wameona hapo ndipo kwa kuongeza michuzi ili wazidi kutupoteza, na sisi tumezama kama hatuna vichwa vile... yaani sasa hivi uchawa umekuwa ajira rasmi mpaka hao tuliowapa ridhaa wameona ndio njia pekee ya kubakia madarakani! Kuna nini hapo?
 
CCM kupitia Wasira washasema Katiba si kipaumbele kabisa maana wananchi hawatakula katika. Hii ina maana kwamba zile sheria zote zinazowapendelea hawapo tayari kuzibadilisha.
 
Back
Top Bottom