sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
[emoji1][emoji1][emoji1] Mkuu mbona umemjibu kikatili sanaa aiseeeJay Z ndio Rapper tajiri zaidi kuliko wote, na utajili wake unafikia billion 6,000.
Mwanamusic anaye ongoza kwa kuwa na viwers wengi youtube ni Eminem
Unajua kujipendekeza sio kosa kikatiba na kibiblia.
usibaki kuwa tu shabki na chawa wake, nenda kawe mke mwenza
Mjadala ambao umechukua hisia za mashabiki katika viunga mbalimbali Africa ya mashariki ni kuhusu hoja iliyoletwa na watangazaji vijana mavhachari wa East Africa radio kuwa Diamond Platinumz ni mkubwa kuliko Jay Z kwenye mtandao wa YouTube.
Mjadal huo uliendeshwa na vijana wenye vipaji na watangazaji wanaoijua kazi yako kindakindaki Modoo na Orgenes wakisema numbers don't lie.
View attachment 2998188
Tanzania tuko kwenye buble, yaani humu ndani tunavyoshabikia ndivyo wanadhani huko nje wanashabikia hivyo hivyo, kumbe story ni tofautiMjadala ambao umechukua hisia za mashabiki katika viunga mbalimbali Africa ya mashariki ni kuhusu hoja iliyoletwa na watangazaji vijana mavhachari wa East Africa radio kuwa Diamond Platinumz ni mkubwa kuliko Jay Z kwenye mtandao wa YouTube.
Mjadal huo uliendeshwa na vijana wenye vipaji na watangazaji wanaoijua kazi yako kindakindaki Modoo na Orgenes wakisema numbers don't lie.
View attachment 2998188
hawa east africa radio na tv walishapoteza wanacho kifanya maana wapo wapo sijui wamewatoa wapi watangazajiMjadala ambao umechukua hisia za mashabiki katika viunga mbalimbali Africa ya mashariki ni kuhusu hoja iliyoletwa na watangazaji vijana mavhachari wa East Africa radio kuwa Diamond Platinumz ni mkubwa kuliko Jay Z kwenye mtandao wa YouTube.
Mjadal huo uliendeshwa na vijana wenye vipaji na watangazaji wanaoijua kazi yako kindakindaki Modoo na Orgenes wakisema numbers don't lie.
View attachment 2998188
Ngoja nijaribu kuelezea kutokana na uelewa wangu,
Wana Hoja msiwabeze, diamond ana over 8.9M subscribers YouTube huku jay z ana over 3.6M subscribers, ni kweli numbers don't lie ila tuangalie facts hapa
Ukija mlanganisha jay z na diamond kwa viewers YouTube ni mbingu na ardhi, nyimbo ya Rihanna na jay z ishagonga billion viewers huko YouTube hizo level Kina diamond bado sana kufika sidhani kama hata robo ya hapo ashawahi kufika
Ishu ya diamond kua na wafuasi wengi YouTube ni kwasababu Africa YouTube ndo platform kubwa ya wasanii kuonyesha kazi zao
Ukija upande wa jay z, wenzetu Wana platform nyingi sana ambazo zipo popular, mfano TIDAL ndo music platform inayoongoza kwa kulipa vizuri wasanii, hivo kazi nyingi wanazipromote huko, jiulize wa tz wangapi wanatumia tidal? Kuna amazon music, apple music, Spotify wote wanalipa kumzidi YouTube, hivo wasanii wengi wanpromote miziki Yao huko, unakuja mashabiki wa jay wamejigawa kwenye hizo platform, kwa kwa sasa YouTube is not a thing anymore
Diamond ana total views nyingi kuzidi Jay Z while Jay Z yupo youtube kitambo.Ngoja nijaribu kuelezea kutokana na uelewa wangu,
Wana Hoja msiwabeze, diamond ana over 8.9M subscribers YouTube huku jay z ana over 3.6M subscribers, ni kweli numbers don't lie ila tuangalie facts hapa
Ukija mlanganisha jay z na diamond kwa viewers YouTube ni mbingu na ardhi, nyimbo ya Rihanna na jay z ishagonga billion viewers huko YouTube hizo level Kina diamond bado sana kufika sidhani kama hata robo ya hapo ashawahi kufika
Ishu ya diamond kua na wafuasi wengi YouTube ni kwasababu Africa YouTube ndo platform kubwa ya wasanii kuonyesha kazi zao
Ukija upande wa jay z, wenzetu Wana platform nyingi sana ambazo zipo popular, mfano TIDAL ndo music platform inayoongoza kwa kulipa vizuri wasanii, hivo kazi nyingi wanazipromote huko, jiulize wa tz wangapi wanatumia tidal? Kuna amazon music, apple music, Spotify wote wanalipa kumzidi YouTube, hivo wasanii wengi wanpromote miziki Yao huko, unakuja mashabiki wa jay wamejigawa kwenye hizo platform, kwa kwa sasa YouTube is not a thing anymore
Inasikitisha sana
Umeelewa Hoja yangu lakini?Diamond ana total views nyingi kuzidi Jay Z while Jay Z yupo youtube kitambo.
Kwenye YouTube Jay Z ni mtoto mdogo sana kwa Diamond Platinumz. Wanaobisha hawana akili ni mambumbumbu.
Hapa hoja ni mwenye ukubwa YouTube ambaye ni Diamond Platinumz. Total views Diamond kamgalagaza vibaya sana Jay Z.Umeelewa Hoja yangu lakini?
Well saidNgoja nijaribu kuelezea kutokana na uelewa wangu,
Wana Hoja msiwabeze, diamond ana over 8.9M subscribers YouTube huku jay z ana over 3.6M subscribers, ni kweli numbers don't lie ila tuangalie facts hapa
Ukija mlanganisha jay z na diamond kwa viewers YouTube ni mbingu na ardhi, nyimbo ya Rihanna na jay z ishagonga billion viewers huko YouTube hizo level Kina diamond bado sana kufika sidhani kama hata robo ya hapo ashawahi kufika
Ishu ya diamond kua na wafuasi wengi YouTube ni kwasababu Africa YouTube ndo platform kubwa ya wasanii kuonyesha kazi zao
Ukija upande wa jay z, wenzetu Wana platform nyingi sana ambazo zipo popular, mfano TIDAL ndo music platform inayoongoza kwa kulipa vizuri wasanii, hivo kazi nyingi wanazipromote huko, jiulize wa tz wangapi wanatumia tidal? Kuna amazon music, apple music, Spotify wote wanalipa kumzidi YouTube, hivo wasanii wengi wanpromote miziki Yao huko, unakuja mashabiki wa jay wamejigawa kwenye hizo platform, kwa kwa sasa YouTube is not a thing anymore