Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,472
KWA WALE WANASHERIA<
Tunajua CPA section 50 mpaka 58 inatoa namna interrogation inavyotakiwa kufanyika kama ukikamatwa. Kwa uelewa wangu nilikuwa najua kuwa, mtu kuandikwa maelezo ya onyo (cautioned statements) kama yale anayofanyiwa Gwajima, anatakiwa kuyatoa kwa hiari yake bila kulazimishwa, that means akiamua anaweza kukataa kuyatoa na kuwaambia polisi mimi sitaongea hapa kama mnaona nina kosa nipelekeni mahakamani nitaenda kujitetea mahakamani. Hebu tujaribu kuijadili haki hiyo kama niko sawa au siko sawa.
Kwa kifupi ni kwamba, wewe mtuhumiwa ukiamua kuwapa nafasi polisi wakupeleleze, yaani yale utakayowaeleza ndiyo hayo watayatumia kukupelelez ana kukupekua zaidi, watakumaliza kabisa kabisa. hivyo dawa yake ni kunyamaza tu usiwaeleze chochote.
Ukianza kuwaeleza kuwa una account, una kampuni, una kanisa, una nini sijui ujue baadaye wanaenda kufuatilia hadi biashara zako kama umekosea ili wakuongeze makosa, account yako ina nini wataifuatilia kila kitu watakupekenyua hadi uchoke.
Tunajua CPA section 50 mpaka 58 inatoa namna interrogation inavyotakiwa kufanyika kama ukikamatwa. Kwa uelewa wangu nilikuwa najua kuwa, mtu kuandikwa maelezo ya onyo (cautioned statements) kama yale anayofanyiwa Gwajima, anatakiwa kuyatoa kwa hiari yake bila kulazimishwa, that means akiamua anaweza kukataa kuyatoa na kuwaambia polisi mimi sitaongea hapa kama mnaona nina kosa nipelekeni mahakamani nitaenda kujitetea mahakamani. Hebu tujaribu kuijadili haki hiyo kama niko sawa au siko sawa.
Kwa kifupi ni kwamba, wewe mtuhumiwa ukiamua kuwapa nafasi polisi wakupeleleze, yaani yale utakayowaeleza ndiyo hayo watayatumia kukupelelez ana kukupekua zaidi, watakumaliza kabisa kabisa. hivyo dawa yake ni kunyamaza tu usiwaeleze chochote.
Ukianza kuwaeleza kuwa una account, una kampuni, una kanisa, una nini sijui ujue baadaye wanaenda kufuatilia hadi biashara zako kama umekosea ili wakuongeze makosa, account yako ina nini wataifuatilia kila kitu watakupekenyua hadi uchoke.