Mjadala huru! Ni sekta ipi inayoendeshwa na Serikali inafanya vizuri?

Mjadala huru! Ni sekta ipi inayoendeshwa na Serikali inafanya vizuri?

1. Mradi wa mwendokasi Dar. Huku mabasi hayafanyiwi maintainance, yanaharibika watu hawajali, kila siku watu zaidi ya laki 1 wanatumia mabasi haya na fedha zinakusanywa na mamlaka husika Ila kila siku mradi uko hovyo! Vituo vyake vinazidi kuchakaa na mabasi yanazidi kuchakaa. Haieleweki Kama waliopewa kazi ya kuendesha mradi hawawezi au la! Serikali ndo wanaendesha mradi

2. Bandari za Dar, Mtwara, Kigoma, Mwanza. Huku nako hakueleweki, mapato yanakusanywa Ila inaelezwa ni kidogo kuliko ilivopaswa! Ucheleweshwaji wa mizigo kila siku imekuwa wimbo. Serikali ndo wanaendesha mradi ingawa Kuna sehemu ndogo imewasha sekta binafsi ambayo inasemwa hii haina malalamiko sana!

3. Reli ya Kati. Hii imeanzia Dar , inaenda Mwanza, Kigoma na Katavi, huku nako hakufai. Treni zina hali mbaya , miundombinu nayo haifai. Kila siku ni bora ya jana na wasafiri wanaotumia usafiri huu wanaelewa hali ikoje.

4. Reli ya TAZARA. Hii aieleweki kama iko hai ama imekufa. Kwa ufupi haieleweki

5. Viwanja vya mpira mikoa yote ukiwemo uwanja wa Taifa. Hii nayo haifai iko hovyo kwenye hali mbaya kupindukia. Uwanja wa a Taifa ndo hadi watu wanakojoa kwenye masinki ya vyoo!

6. Vituo vya mabasi. Hivi viko hoehahe. Kila siku mapato makubwa yanakusanywa Ila haieleweki yanaenda wapi

Kwa mtazamo wangu naunga mkono Bandari ya Dar es Salaam kupatiwa mwekezaji binafsi kuiendesha. Serikali isimamie kitengo cha ulinzi wa Usalama tu. Pia katika kuhakikisha tunafanya vizuri kwenye Bandari Bandari zote ziendeshwe kwa mfumo huo. Kikubwa apatikane mwekezaji wa maana tu kama Mwekezaji aliyepewa NMB na wawekezaji wengine makini ambao tumeona walivyofanya kazi nzuri!
HAKUNA
 
Pole sana tena sana. Ungejua China kafikia hapo alipo kwa serikali kufanya biashara. Huo ujinga wa kubinafisisha kila kitu baadhi ya nchi za ulaya wanajilaumu. Mi sikubaliani na mpango wa Mama, nitaupinga siku zote hata kama ukifanikiwa kwa sababu siyo sustainable. Leo hii ukikichafua NMB akiondoka muwekezaji bank inakufa. Namshauri Mama awe na uzalendo kama wa Dkt Magufuli, tusikalili njia za maendeleo kama za ulaya bali tuangalie mazingira yetu, ni afadhali hela wanazoiba akina Mwigulu au akina Nape maana wataziweka Tanzania na zitakuwa kwenye mizunguko lakini ukileta muwekezaji atakuwa anazihamisha
Acha hadithi za kutunga,wewe ni Mchina? Attitudes na culture mko sawa?

Ulipo hapo utakuta toto lako jambazi hata kulilipoti huwezi na unajua linasababishwa shida Kwa watu afu unazingua.
 
Ni biashara hiyo. Labda kam huelewi maana ya biashara
Unaweza kunitajia investment ya TRA mzee ? TRA wanatoa service.

Ingekuwa biashara wangekuwa wanatoa gawio.

Haiingii akilini kwa taasisi kuwa na turnover ya trilioni 18 halafu isitoe gawio kwa serikali kama inafanya biashara.

Mamlaka ya bandari ina turnover ya bilioni 900 ila inatoa gawio kwa sababu wanafanya biashara.

Wangeiachaje TRA kwa trilioni zote hizo ?
 
1. Mradi wa mwendokasi Dar. Huku mabasi hayafanyiwi maintainance, yanaharibika watu hawajali, kila siku watu zaidi ya laki 1 wanatumia mabasi haya na fedha zinakusanywa na mamlaka husika Ila kila siku mradi uko hovyo! Vituo vyake vinazidi kuchakaa na mabasi yanazidi kuchakaa. Haieleweki Kama waliopewa kazi ya kuendesha mradi hawawezi au la! Serikali ndo wanaendesha mradi

2. Bandari za Dar, Mtwara, Kigoma, Mwanza. Huku nako hakueleweki, mapato yanakusanywa Ila inaelezwa ni kidogo kuliko ilivopaswa! Ucheleweshwaji wa mizigo kila siku imekuwa wimbo. Serikali ndo wanaendesha mradi ingawa Kuna sehemu ndogo imewasha sekta binafsi ambayo inasemwa hii haina malalamiko sana!

3. Reli ya Kati. Hii imeanzia Dar , inaenda Mwanza, Kigoma na Katavi, huku nako hakufai. Treni zina hali mbaya , miundombinu nayo haifai. Kila siku ni bora ya jana na wasafiri wanaotumia usafiri huu wanaelewa hali ikoje.

4. Reli ya TAZARA. Hii aieleweki kama iko hai ama imekufa. Kwa ufupi haieleweki

5. Viwanja vya mpira mikoa yote ukiwemo uwanja wa Taifa. Hii nayo haifai iko hovyo kwenye hali mbaya kupindukia. Uwanja wa a Taifa ndo hadi watu wanakojoa kwenye masinki ya vyoo!

6. Vituo vya mabasi. Hivi viko hoehahe. Kila siku mapato makubwa yanakusanywa Ila haieleweki yanaenda wapi

Kwa mtazamo wangu naunga mkono Bandari ya Dar es Salaam kupatiwa mwekezaji binafsi kuiendesha. Serikali isimamie kitengo cha ulinzi wa Usalama tu. Pia katika kuhakikisha tunafanya vizuri kwenye Bandari Bandari zote ziendeshwe kwa mfumo huo. Kikubwa apatikane mwekezaji wa maana tu kama Mwekezaji aliyepewa NMB na wawekezaji wengine makini ambao tumeona walivyofanya kazi nzuri!
Ukiangalia kwa undani unahisi kila sehemu inayoingiza pesa inahitaji mbia.

Kwanini tusianze na chama tawala?
 
Acha hadithi za kutunga,wewe ni Mchina? Attitudes na culture mko sawa?

Ulipo hapo utakuta toto lako jambazi hata kulilipoti huwezi na unajua linasababishwa shida Kwa watu afu unazingua.
Jambazi ni Nape na Makamba ndiyo majizi na Riziwani madawa ya kulevya.

Tunasubiri muda yaani kama yanavyojitahidi kumtukana Dkt Magufuli na kumdhalilisha ndivyo yatakavyotendewa
 
Ndugu yangu, tatizo la Tz ni siasa na ubinafsi zaingilia mambo mengi ya msingi.... serikali huwa inataka ifanye kila kitu, na kupenda ' Monopoly' karibu kwenye kila kitu ili kukwepa competition...na haitaki weka 'plain field' ya kuruhusu competion itakayoleta ufanisi wenye tija.....waulize kampuni ya Fast jet na kilichotokea....Tz kaazi kwelikweli na safari bado ni ndefu.
Kwahio solution ni kuweka level playing field na kuruhusu competition na sio kuwamilikisha the Kitchen Sink.....
 
1. Mradi wa mwendokasi Dar. Huku mabasi hayafanyiwi maintainance, yanaharibika watu hawajali, kila siku watu zaidi ya laki 1 wanatumia mabasi haya na fedha zinakusanywa na mamlaka husika Ila kila siku mradi uko hovyo! Vituo vyake vinazidi kuchakaa na mabasi yanazidi kuchakaa. Haieleweki Kama waliopewa kazi ya kuendesha mradi hawawezi au la! Serikali ndo wanaendesha mradi

2. Bandari za Dar, Mtwara, Kigoma, Mwanza. Huku nako hakueleweki, mapato yanakusanywa Ila inaelezwa ni kidogo kuliko ilivopaswa! Ucheleweshwaji wa mizigo kila siku imekuwa wimbo. Serikali ndo wanaendesha mradi ingawa Kuna sehemu ndogo imewasha sekta binafsi ambayo inasemwa hii haina malalamiko sana!

3. Reli ya Kati. Hii imeanzia Dar , inaenda Mwanza, Kigoma na Katavi, huku nako hakufai. Treni zina hali mbaya , miundombinu nayo haifai. Kila siku ni bora ya jana na wasafiri wanaotumia usafiri huu wanaelewa hali ikoje.

4. Reli ya TAZARA. Hii aieleweki kama iko hai ama imekufa. Kwa ufupi haieleweki

5. Viwanja vya mpira mikoa yote ukiwemo uwanja wa Taifa. Hii nayo haifai iko hovyo kwenye hali mbaya kupindukia. Uwanja wa a Taifa ndo hadi watu wanakojoa kwenye masinki ya vyoo!

6. Vituo vya mabasi. Hivi viko hoehahe. Kila siku mapato makubwa yanakusanywa Ila haieleweki yanaenda wapi

Kwa mtazamo wangu naunga mkono Bandari ya Dar es Salaam kupatiwa mwekezaji binafsi kuiendesha. Serikali isimamie kitengo cha ulinzi wa Usalama tu. Pia katika kuhakikisha tunafanya vizuri kwenye Bandari Bandari zote ziendeshwe kwa mfumo huo. Kikubwa apatikane mwekezaji wa maana tu kama Mwekezaji aliyepewa NMB na wawekezaji wengine makini ambao tumeona walivyofanya kazi nzuri!
Kusimamia Bandari na Genge kipi kigumu?
 
1. Mradi wa mwendokasi Dar. Huku mabasi hayafanyiwi maintainance, yanaharibika watu hawajali, kila siku watu zaidi ya laki 1 wanatumia mabasi haya na fedha zinakusanywa na mamlaka husika Ila kila siku mradi uko hovyo! Vituo vyake vinazidi kuchakaa na mabasi yanazidi kuchakaa. Haieleweki Kama waliopewa kazi ya kuendesha mradi hawawezi au la! Serikali ndo wanaendesha mradi

2. Bandari za Dar, Mtwara, Kigoma, Mwanza. Huku nako hakueleweki, mapato yanakusanywa Ila inaelezwa ni kidogo kuliko ilivopaswa! Ucheleweshwaji wa mizigo kila siku imekuwa wimbo. Serikali ndo wanaendesha mradi ingawa Kuna sehemu ndogo imewasha sekta binafsi ambayo inasemwa hii haina malalamiko sana!

3. Reli ya Kati. Hii imeanzia Dar , inaenda Mwanza, Kigoma na Katavi, huku nako hakufai. Treni zina hali mbaya , miundombinu nayo haifai. Kila siku ni bora ya jana na wasafiri wanaotumia usafiri huu wanaelewa hali ikoje.

4. Reli ya TAZARA. Hii aieleweki kama iko hai ama imekufa. Kwa ufupi haieleweki

5. Viwanja vya mpira mikoa yote ukiwemo uwanja wa Taifa. Hii nayo haifai iko hovyo kwenye hali mbaya kupindukia. Uwanja wa a Taifa ndo hadi watu wanakojoa kwenye masinki ya vyoo!

6. Vituo vya mabasi. Hivi viko hoehahe. Kila siku mapato makubwa yanakusanywa Ila haieleweki yanaenda wapi

Kwa mtazamo wangu naunga mkono Bandari ya Dar es Salaam kupatiwa mwekezaji binafsi kuiendesha. Serikali isimamie kitengo cha ulinzi wa Usalama tu. Pia katika kuhakikisha tunafanya vizuri kwenye Bandari Bandari zote ziendeshwe kwa mfumo huo. Kikubwa apatikane mwekezaji wa maana tu kama Mwekezaji aliyepewa NMB na wawekezaji wengine makini ambao tumeona walivyofanya kazi nzuri!
Maana yake Serikali hakuna wanachoweza kusimamia hata kimoja

Basi hata Kama ni hivo hata Urais tutafute kampuni ya kufanya nao ubiya.

Watusaidie kwenye kiongoza😊😊😊😊😊(kidding).
 
1. Mradi wa mwendokasi Dar. Huku mabasi hayafanyiwi maintainance, yanaharibika watu hawajali, kila siku watu zaidi ya laki 1 wanatumia mabasi haya na fedha zinakusanywa na mamlaka husika Ila kila siku mradi uko hovyo! Vituo vyake vinazidi kuchakaa na mabasi yanazidi kuchakaa. Haieleweki Kama waliopewa kazi ya kuendesha mradi hawawezi au la! Serikali ndo wanaendesha mradi

2. Bandari za Dar, Mtwara, Kigoma, Mwanza. Huku nako hakueleweki, mapato yanakusanywa Ila inaelezwa ni kidogo kuliko ilivopaswa! Ucheleweshwaji wa mizigo kila siku imekuwa wimbo. Serikali ndo wanaendesha mradi ingawa Kuna sehemu ndogo imewasha sekta binafsi ambayo inasemwa hii haina malalamiko sana!

3. Reli ya Kati. Hii imeanzia Dar , inaenda Mwanza, Kigoma na Katavi, huku nako hakufai. Treni zina hali mbaya , miundombinu nayo haifai. Kila siku ni bora ya jana na wasafiri wanaotumia usafiri huu wanaelewa hali ikoje.

4. Reli ya TAZARA. Hii aieleweki kama iko hai ama imekufa. Kwa ufupi haieleweki

5. Viwanja vya mpira mikoa yote ukiwemo uwanja wa Taifa. Hii nayo haifai iko hovyo kwenye hali mbaya kupindukia. Uwanja wa a Taifa ndo hadi watu wanakojoa kwenye masinki ya vyoo!

6. Vituo vya mabasi. Hivi viko hoehahe. Kila siku mapato makubwa yanakusanywa Ila haieleweki yanaenda wapi

Kwa mtazamo wangu naunga mkono Bandari ya Dar es Salaam kupatiwa mwekezaji binafsi kuiendesha. Serikali isimamie kitengo cha ulinzi wa Usalama tu. Pia katika kuhakikisha tunafanya vizuri kwenye Bandari Bandari zote ziendeshwe kwa mfumo huo. Kikubwa apatikane mwekezaji wa maana tu kama Mwekezaji aliyepewa NMB na wawekezaji wengine makini ambao tumeona walivyofanya kazi nzuri!
Mradi wa kununua wapinzani hapo walifanikiwa mengine yote hakuna
 
Maana yake Serikali hakuna wanachoweza kusimamia hata kimoja

Basi hata Kama ni hivo hata Urais tutafute kampuni ya kufanya nao ubiya.

Watusaidie kwenye kiongoza😊😊😊😊😊(kidding).
Kwenye nchi zilizoendelea Serikali haifanyi biashara
 
Jambazi ni Nape na Makamba ndiyo majizi na Riziwani madawa ya kulevya.

Tunasubiri muda yaani kama yanavyojitahidi kumtukana Dkt Magufuli na kumdhalilisha ndivyo yatakavyotendewa
Sio mahali pale hapa
 
Bora kubinafsisha kitu kilete tija kuliko kujifanya wazalendo halafu kutwa kulihujumu taifa kwa kufanya ufisadi

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
The question is... Kitaleta Tija ?

Ngoja nikupe Scenario..., Kuna Kampuni / Taasisi they are too Big to Fail....

Mfano unadhani Benki kubwa ikibinafsishwa alafu ikapata hasara nini kitatokea ? (Wataacha market forces zifanye yake sababu ni Private Company) ? Jibu ni hapana, vitu kama Benki Kubwa, National Housing, Bandari, Tanesco, Reli n.k. vikipata faida muwekezaji atakula percent yake na nyie kuwapa..., ikienda Pear Shaped Ni kodi zako ndio zitampa Ruzuku mwekezaji ili aendelee ili Uchumi usishuke au isitokee Hasara Kubwa (it has happened everywhere from UK to USA)

Kwa ufupi akipata faida anakula kwa furaha..., akipata hasara mlipa Kodi anamlipia...,

Only way forward waanzishe vyao from scratch na wapewe fair playing filed na sio kupewa Favors (If they are that good let them start from scratch) Hizo Taasisi nyingi zina millions of assets na hawachelewi kuzikopea mikopo na kuziacha mayard matupu na huenda hata hayo kupigwa mnada...., Kama tumeshindwa kusimamia Mashirika ya UMMA ambayo kila kitu CAG anaweza kuingia na kuangalia ije kusimamia Private Sectors which can Cook their Books and inflate / deflate their Net-worthy....
 
Back
Top Bottom