MJADALA: Je, kuna madhara yoyote ya kufanya mapenzi wakati wa hedhi?


Na kwa waislamu ni hivyo ni marufuku lkn vile alivyokataza mungu ss ndo tunaviruhusu
 

Asante Mkuu kwa elimu nzuri.
 
Je, kuna madhara msichana akifanya mapenzi wakati akiwa katika hedhi (siku zake)?

Kufanya mapenzi wakati msichana yuko katika hedhi hakuna madhara yoyote kiafya kwa mwanaume wala mwanamke kama kati yao hakuna mwenye ugonjwa wa zinaa.

Ila kama mmoja wapo ana ugonjwa wa zinaa, huo ni wakati wa hatari sana kwa maambukizi, kwa sababu utando ndani ya mfuko wa uzazi unabomoka na mlango wa mfuko wa uzazi unakuwa wazi. Hivyo ni rahisi sana vijidudu vya magonjwa mbalimbali kuingia mwilini mwa msichana. Vilevile kama msichana tayari ameambukizwa na magonjwa ya zinaa, katika damu yake viko vijidudu vingi vinavyoweza kumwambukiza mvulana.

Kwa sababu mara nyingi ni vigumu kufahamu kama kati ya wapenzi hakuna mwenye ugonjwa wa zinaa, haishauriwi kujamii ana wakati wa hedhi na kama ndivyo basi kondomu itumike.

Katika jamii nyingi kujamii ana wakati mwanamke yuko wenye hedhi haikubaliki kwa sababu ya mila au dini.

Chanzo: Je, kuna madhara msichana akifanya mapenzi wakati akiwa katika hedhi (siku zake)? - AckySHINE MiniSites | Best of 2019
 
Nna km mwaka cjakutana na mpenzi wng nilikua nje ya nchi kimasomo nimerudi ss hv na amekuja kunitembelea lkn bht mbaya yuko kwenye cku zake na mm niko hali mbaya nashindwa hata kustahamili Hivi kuna ubaya wwt kufanya mapenzi na mpenzi wko akiwa yuko kwenye cku zake? #Advice
 
Sasa ulienda kusoma nini nje kama hata kitu kidogo kama hicho hujui?????
 
Kuna ubaya mkubwa kwan yupo katka hal mbaya sana wengne matumbo yanawaumaga, viuno yaan hapo utajlazmisha upate raha wakat mwenzio anapata kero.
 
cjaenda kusomea mapenzi

Education should be there to enable you to conquer challenges which are surrounding you!! Kwa mfano, engineer pia anatakiwa kujua ni chakula kipi akila kitamletea afya na ni chakula kipi akila kitamletea magonjwa japo hajasoma nutrition, lawyer anatakiwa kujua ni kwa nini computer yake anatakiwa kuweka ant-virus,doctor anatakiwa kujua kuendesha gari, mwanaume/mvula anatakiwa kujua wapi kuna anus na ni wapi ipo vagina wakati wa sex, siyo lazima usomee!!....right?
 
Hebu wanaume muwe na kiasi kwan kwa ck3-5 hutopungukiwa na kitu mwache mwenza wako aondokane n hali hiyo.
 
Uwo uchafu bana iyo midamu inakutoka afu na we mtoto wa kike unaingiziwa dyudyu umetulia tuu haki ya mungu siwezi jaman
 
duu! inasikitisha ukijidhamin utadhaminwa kama ni mwaminifu atakuvumilia usijirahisishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…