Duh unakulaje sasa? Yaani damu zinatoka halafu wewe unaendelea kula? Hata kusingekuwa na madhara bado haiingii akilini kwa hali ya kawaida kabisa kula mzigo kwa style hio.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hisani ya watu wa Marekani
Kiafya haina tatizo ikiwa mwanamke hana uambukizo wa maradhi kama STD; gono, kisonono, kaswende etc. na mwanaume hana uambukizo na michubuko nk.
Hivyo ni salama kabisa ikiwa hali ya awali imejumishwa katika tathmini. Kikubwa tu ni hofu na fikra kwa kutokujua. I mean we are not well informed.
Angalizo tu ni kwamba it is not hygienic but no health d/effect if contrary is committed yaani hamna madhara kiafya. By not hygienic it means that one can stain the beddings, unpleasant boold smell, etc Kwa msaada zaidi wasiliana nami ili tufanye utafiti wa kina.
You can use condom; both male and female partner for hygiene or any other means one can find reliable.
Mshipa ni nini?Wewe mbona hatari utapata mshipa
mshipa only ukila mke wa mtu
Wajuzi nijuzeniWakubwa shikamooni,wadogo marhaba,rika moja mambo!.
Wakuu Jana kidosho wangu tukiwa tunajiandaa kula vyetu adimu,wakati tunacheza michezo ya kuleta mizuka Mara simba hawa!rediiiharafu Mimi mnara umesoma kinoma!kitu kimenyoka balaa!nikicheki figa ya demu wangu hatarii namba 8,mkia Wa kondoo,chura Wa snura anaingia mara3.yaani kidogo nile bila kujali tomato
Sasa wenzangu je ningekula tu au vipi.maana nilibaki Na hamu zangu
AsanteNgoja waje madaktari