Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mtu anayeweza kupiga puchu bao zaidi ya moja huyo siyo mtu wa kawaida.

Anyway, tafuta kazi ya kuishona non stop.
 
Mzee acha kama mazingira si mazuri Nilikua naenda Choo cha shule najifungia, kuna siku Nilikua Mjini Kuna mdada Alinizidia nikaingia choo cha Jumuiya Na mkono Wangu,

Matukio Ni Mengi Hadi ajabu Nikishafanya Najishangaa Najilaumu
Kupiga kila muda hadi darasani wee ilikuathiri sana.[emoji1787]
 
Jamani mimi niko na 18 years hapa Dar, tafadhali wakuu kama kuna mtu mwenye njia zitakazo nisaidia wala sio dawa maana mficha maradhi kifo humuumbua nasubiri majibu ndugu zangu.

Sasa wewe una miaka 18 unataka uache Punyeto ili ukaambukizwe Ukimwi?

Endelea nalo, muda ukifika utaacha tu mwenyewe.
 
Usipende kukaa peke ako Hasa chumbani muda mrefu pasipo kua na Kazi yeyote , kukaa peke ako huku ukiangalia mapicha Ya x , acha hiyo tabia mara moja , maana hizo tabia hupelekea sana watu kujichua
 
tatzo la haka kamchezo hata kama umemgaragaza dem wako goli 3 akiondoka ukikumbuka tu lazima usogelee bby care ilipo ujichukulie shelia mkonon tena
Inatokea ukiwa hujachakata demu vizuri,demu akikupata bao nne au tano hamu ya nyeto inakata siku mbili ila manzi akupe bao mbili au tatu kwangu si kitu nitapiga nyeto bao mbili au moja...I'm so high,nina nguvu nyingi za kiume nyeto izipunguze kidogo
 
Umri wako tafadhali!
 
Acha kuangalia porn! Ukiacha kuangalia porn basi jishughulishe na ujichanganye na watu muda wote usikae peke yako! Tafuta addiction nyingine kama Mziki, Mpira, Movie ukishazamia huko basi ukiboreka tu fanya starehe nyingine tofauti na kuangalia mipunga! Maana kuangalia porn huwa inakuja pale unapoboreka na unapotamani zigo la mtu unaona kwanini ujibane wakati kono unalo! Sasa acha Porn, usikae kizembe, tafuta Demu Umle
 
Saawamkuu nmekupat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…