MJADALA: Je, ni kwa namna gani YouTube humlipa mmiliki wa account?

MJADALA: Je, ni kwa namna gani YouTube humlipa mmiliki wa account?

Chief ili uanze kulipwa utakuwa umehangaika sanaa as long as wewe sio maarufu na hauna content pendwa!

Pia hata ukianza kulipwa CPM zitakuangusha tu ni kipengele sana aisee
Bongo CPM zinacheza ngapi kwa sasa mkuu?
 
NINGEPENDA KUJUA INACHUKUA MDA GAN KUANZWA KULIPWA YOUTUBE CHANEL AFU KAMA KUNA MTU ANA YOUTUBE CHANEL INAUZWA AMBAYO ISHANZA KULIPWA ANAIUZA TUJUZANE.
Nhitaji msaada kuweka card yang google wat wakini search nionekane
 
Back
Top Bottom